Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1945 - Bomu la pili atomiki larushwa huko Nagasaki nchini Japan na kuua watu takribani 35,000.

Bomu hili lililojulikana kama " Fat man " baada ya lile la kwanza la August 6 lililojulikana kama " Little boy "

Wataalamu wa mambo wanasema bomu hili ndilo lililomaliza vita kuu ya pili ya Dunia.

Madhara ya bomu hilo yanaitesa Japan na watu wake mpaka leo.
 
Leo katika Historia:

1945 - Bomu la pili atomiki larushwa huko Nagasaki nchini Japan na kuua watu takribani 35,000.

Bomu hili lililojulikana kama " Fat man " baada ya lile la kwanza la August 6 lililojulikana kama " Little boy "

Wataalamu wa mambo wanasema bomu hili ndilo lililomaliza vita kuu ya pili ya Dunia.

Madhara ya bomu hilo yanaitesa Japan na watu wake mpaka leo.
Duuh
 
Back
Top Bottom