Makapuku Forum

Makapuku Forum

FIX ZA BITOZ:
1/vikapuku uchwara= Kapuku ambao wanazurura JF Kila siku lkn hawaibuki KF au wanabipu tu

2/Mbepela=Mtu mpenda Shari

3/Kifensi= mtu anayeinfilia mambo yasiyomyhusu mfn kila mazungumzo ya watu naye yumo

4/Tepya= mambo mteremko

5/kipyanyunyu= Kijitu chenye wivu

Haya nasikia vipyanyunyu vimejisgtukia....now KF tepya

..........
Tepya = Kitonga = Mteremko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom