Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kama Asano Takei
1470684098862.jpg
 
FIX ZA BITOZ:
1/vikapuku uchwara= Kapuku ambao wanazurura JF Kila siku lkn hawaibuki KF au wanabipu tu

2/Mbepela=Mtu mpenda Shari

3/Kifensi= mtu anayeinfilia mambo yasiyomyhusu mfn kila mazungumzo ya watu naye yumo

4/Tepya= mambo mteremko

5/kipyanyunyu= Kijitu chenye wivu

Haya nasikia vipyanyunyu vimejisgtukia....now KF tepya

..........
Sawa mbepela nimekusoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom