shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Anakulazimisha uweke picha, wakati wewe ulienda ukiwa unanyonyaHaikuhusu we ndezi huko siyo Mbezi
![]()
![]()
![]()
... . . ..
Anakulazimisha uweke picha, wakati wewe ulienda ukiwa unanyonyaHaikuhusu we ndezi huko siyo Mbezi
![]()
![]()
![]()
... . . ..
Niko hapa nakumywa kahawaMbona mbali sana huko?
huku nikiilia timing

Anahusika sana sana![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu Bela sasa inabid awe rafki yangu kwa kweli
Khaaa!!! Kaz ipo
Najua Atalanta Georgia haiwezi kosa.Halafu naomba siku utuwekee majiji makali zaidi duniani
Haipo sahihi, China na India wako kama 2bLicha ya bara lao kuwa kubwa na kuonekana wanazaana sana lakini sisi Africa tumewazidi kwa wingi wa watu.
Iko sahihi hapo?
Yule sasa ndio Dikteta orijino.Ubabe wa yule dogo mi siuwezi![]()
![]()
Ye anataka kunyoa panki peke yake na halimpendezi
Afadhali wife wake anaridhisha
Hapo tena umemfikisha.Cc ; Jimena
Ok, basi nathani sisi bara la Africa tumewazidi kwa kuwa na nchi nyingiHaipo sahihi, China na India wako kama 2b
Nimeweka picha za mavugoOle wako nikute umeweka takataka
![]()
![]()
![]()
.......



Mi nakula gomba.Niko hapa nakumywa kahawahuku nikiilia timing
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sikiliza California love utapajua vizuri tuSkujuiiii
Kwani kamefanana na nani??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nitampeleka akafanyiwe plastic surgery
Unakwepa sana ushahidiMaana nimewawahi la sivyo mngesema mambo ya weka picha.
Hahaha...unakaba mpk offside.Kama unaitwa David..
Halaf demu wako kakutumia msg kua yupo hosptal kalazwa na anadai umtumie hela... my friend David huo ni uongo maana kuna dem nipo nae hapa kwnye daladala ndo ameandika iyo msg yani sio mgonjwa.
Ninakushtua tu mshikaj wangu watu kusaidiana..
Tuma na kwingine tumsaidie David asipigwe mzinga..
![]()
Apigwe tu hakuna namnaKama unaitwa David..
Halaf demu wako kakutumia msg kua yupo hosptal kalazwa na anadai umtumie hela... my friend David huo ni uongo maana kuna dem nipo nae hapa kwnye daladala ndo ameandika iyo msg yani sio mgonjwa.
Ninakushtua tu mshikaj wangu watu kusaidiana..
Tuma na kwingine tumsaidie David asipigwe mzinga..
![]()
Waafrica hawana muda maalumuVipi sisi Waafrika?
Mkuu unaishi kiIla ni hii San Fransisco ya Kitunda.
nini??muda wowote game linapigwaWaafrica hawana muda maalumu