Makapuku Forum

Sikuwa najua kuwa watu wanazamia hadi China
Fly overs nimezielewa vizuri
 
Number 2, Seoul, South Korea (24.400.000) watu milion 24.4
Likiwa lina wastan wa watu 17,800 kwa kilomuta za mraba ni moja ya jiji lenye mlundikano wa watu zaid duniani, Pia ndio jiji zuri kuliko yoite dunuani.
Inakadiriwa kuwa karibia kika sehem ya korea kuna kitu inacho endeshwa na IT na asilimia 95,ya nyumba za watu wa seoul zina accecss ya wireless broadband
Ni mji ambao mtandao wa internet unashika kwa kasi kuliko mji wowote duniani
Pia airport ya jiji hilo, vyakula , sehem xa starehe na mapumziko
Bila kushahu wasichana bomba(wengi wakiwa wamefanyiwa oparesheni na kutumia dawa za wachina kupendeza) pia ni sehem ambayo watu huparty sana kwa mwendo wa kila siku
 
Wanatumia 6G au?? Maana karibu dunia yote iko 5G
Lakini Korea hakunivutii kabisa sijui kwanini
 
Number 1, Tokyo, Japan (34.000.000) watu milioni 34, yaan hapa ndo watu ni shida jiji hili lina mamlaka za kanda maalum 23, mamlaka za manispaa 26, mamlaka za miji 8 na serikali za vijiji 5,
Na hao ndo wababe wetu wa kujaza watu kwenye majiji
 
Japan imetisha vibaya, ni moja kati ya nchi ambazo ziko kwenye ratiba yangu
 
Y'al v bin amazing suportters of this segment thankya and tuendelea ku fanya hvo

Pia natoa pole kwa sweetapple na familia yake kwa kuwa na mgonjwa tuna mwombea apone

Mlikuwa nami Szczesny Carrenza de la Casa de la Fuma aka Field Marshall

Mpaka wakt mwingne asanti sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…