Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Ya ghorofaSzczesny usiku umeota unapost top ten, cha ajabu ukatuma no 10 tu, nahisi baada ya hapo uliamka

Ya ghorofaSzczesny usiku umeota unapost top ten, cha ajabu ukatuma no 10 tu, nahisi baada ya hapo uliamka

Riwaya iko hewani sasa.Leta hapa naisubiria kwa ham sanaa
Iko hewani sasa.Nasubiria kwa hamu kubwa
Ntazisikiliza baadaeZipo...waiting for a girl like you, Jukebox hero...etc mi sijui kwanini napenda sana oldies wakati hata kipindi hicho sikuwepo
Hakia nani jimena umepata pacha cc sweetiepieSema tu sasa ufiche kwani kidonda??
Koh koh
Coz unapenda kubembelezwaZipo...waiting for a girl like you, Jukebox hero...etc mi sijui kwanini napenda sana oldies wakati hata kipindi hicho sikuwepo

Tayari nmeshaleta.Shusha mzigo Jonax
Mpe poleAnaendelea vizuri ana itilafu kidogo tu kwenye uti wa mgongo sio hatari sana maana amewahi matibabu.
Hakia nani jimena umepata pacha cc sweetiepie
kweli tusio na wana, tueleke mawe

Sio shuzi ni VUMBIMbona ushuz tena![]()
Yaah kuna pingili moja ya uti wa mgongo inatakiwa iwekwe sawa. Atapona tuHapo kwenye green
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa kwa pamba hizo huwezi kupata demu
ngoja nibadili mienendo yangu, huenda na miye nkawepo kwenye list....acha mazereauSasa kwa pamba hizo huwezi kupata demu

Kidonda kinafichwa?Sema tu sasa ufiche kwani kidonda??