Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Hapo sawa.Vikapuku uchwara
Tufanye yetu
Hakuna haja ya kuvijadili
![]()
![]()
![]()
................
Hapo sawa.Vikapuku uchwara
Tufanye yetu
Hakuna haja ya kuvijadili
![]()
![]()
![]()
................
Mi najua uvuaji wa chupiKwa nini hakuna siku ya wavuvi?
Cc bitoz
Hata hawa wa kisasa, kilimo cha green house??Mkulima daima atakufa maskini.
Leo umetisha sanaNukuu ya leo itawajia hivi punde
mkuu binafsi nipo sema mambo nayo mengi, ila tupo pamoja holiday yasemaje
Shida ni kuwa unapambana shambani huko, afu ukienda sokoni bei anapanga dalali.Hata hawa wa kisasa, kilimo cha green house??
Sio waasisi bali member wa mwanzo mwanzo tuWako wapi waasisi hawa?
Holiday iko njema mkuu, basi hata salamu usisahau mkuumkuu binafsi nipo sema mambo nayo mengi, ila tupo pamoja holiday yasemaje
we jamaa yangu unapenda sana battleVikapuku uchwara
Tufanye yetu
Hakuna haja ya kuvijadili
![]()
![]()
![]()
................
Sio nyie wakongo wa mikorogoNaona Mdingi anatumia ufagio kama kasia! Maisha matamu![]()
Asante, baada ya hapo akaingia Baba wa Afrika.NUKUU NO 2#
Serikali iliyoingia madarakani baada ya uchaguzi wa April 1994 ilikuwa ukihitaji kujiendesha kwa bajeti.
Ni bajeti ilivyokuwa imeandaliwa na waziri wa fedha, Derek Keys, na alifanikiwa kushawishi serikali hiyo kuendeleza misingi ya Sera ya soko huria ambayo imekuwa ikitumika miongo kwa miongo nchini Africa ya Kusini.
Maneno haya yalisemwa na Fredrick de klerk. Frederick Willem de klerk alizaliwa Machi 18,1936,
Ni mwanasiasa wa Africa kusini aliyekuwa Rais wa taifa hilo kuanzia September,1989 hadi Mei 1994.
Ni Rais wa saba wa na wa mwisho wa Africa kusini chini ya ubaguzi wa rangi
na kwako pia.Kwa hisani ya Walcott Sina la ziada, nawatakieni nane nane njema
Vikapuku uchwaraHao ni abiria walioshukia njiani kabla ya kufika destination.
Wala tusiwajadili
Tutajie majina ya waasisi hao watatuSio waasisi bali member wa mwanzo mwanzo tu
Waasisi ni wa3 tu....wengine ni member wa mapema
Ukapuku tulianzisha watu wa3
Hata kabla ya hii thread
..............
Kabisa bitozi
Sawa ChuraSijawahi kuona Jeshi linavaa kofia za Yanga
Wanajeshi huvaa kofia nyekundu kuashiria hatari...sasa hao Jeshi uchwara wanavaa za njano...nahisi ni Mgambo.Sawa Chura
![]()
![]()
![]()
............
Mi sijaelewa.Kwa nini hakuna siku ya wavuvi?
Cc bitoz