Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Ni siku ya Wakulima nchini Tanzania maarufu kama " Nane Nane "

Ambapo maonyesho ya wakulima hufanyika kwenye mikoa mbalimbali.

Ni siku ya mapumziko.
1470638700907.jpg
1470638707546.jpg

Kilimo ni ufukara
.........
 
NUKUU NO 1#

Sehemu kubwa ya watu wanao toa rushwa barani Africa si waafrica, Bali ni watu kutoka nje.


Haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Nigeria, Olusegun Obasanjo.
Obasanjo alizaliwa Mach 5,1938.
Ni jenerali wa jeshi la Nigeria aliyeiongoza nchi hiyo kwa wadhifa wa Rais, kuanzia mwaka 1999 hadi 2007.

Kabla ya hapo Obasanjo pia aliwahi kuongoza nchi yake kwa mkono wa chuma (utawala wa kijeshi) kuanzia Feb 13,1976 hadi Oct 1,1979. Na kisha kuchaguliwa kwa njia ya kidemokrasia
 
NUKUU NO 1#

Sehemu kubwa ya watu wanao toa rushwa barani Africa si waafrica, Bali ni watu kutoka nje.


Haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Nigeria, Olusegun Obasanjo.
Obasanjo alizaliwa Mach 5,1938.
Ni jenerali wa jeshi la Nigeria aliyeiongoza nchi hiyo kwa wadhifa wa Rais, kuanzia mwaka 1999 hadi 2007.

Kabla ya hapo Obasanjo pia aliwahi kuongoza nchi yake kwa mkono wa chuma (utawala wa kijeshi) kuanzia Feb 13,1976 hadi Oct 1,1979. Na kisha kuchaguliwa kwa njia ya kidemokrasia
Jenerali Obasanjo heshima kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom