Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
ahahah. Huo sasa ni Uchokozi.Kwa nini hakuna siku ya wavuvi?
Cc bitoz
ahahah. Huo sasa ni Uchokozi.Kwa nini hakuna siku ya wavuvi?
Cc bitoz
Wako wapi waasisi hawa?Moyo wangu unafarijika.....
Salute kwa founder members wote
President Bitoz (BishopTembo)
Vice Pr. Jimena
Prime minister Th name
Nahrene
Cute B
Ibra 87
EMMYGUY
Kije kugundua dikteta au?Wakilete Dodoma
Ndio habari ya MjiniKupuku ndio nn
Naona Mdingi anatumia ufagio kama kasia! Maisha matamu

Leo katika Historia:
Ni siku ya Jeshi la nchi ya Zimbabwe.
Hahaha...Ni Leo tu coz tutashindwa kuparticipate thread zote
Mi thread zangu zote leo sizigusi kabisa
Hao ni abiria walioshukia njiani kabla ya kufika destination.
Wewe wasema.Naona Kapuku wanaleta tishio kwa wakongwe,lakini mwisho wa yote mkubwa ni mkubwa tu hata awe mfupi.
Paka mate kichwaniSielewi chochote
Unauliza sifa kwa uchwara?Kije kugundua dikteta au?
So, ya nat a teacher!Hapana aiseee
Kazi zangu hazina mapumziko

Unauliza sifa kwa uchwara?Kije kugundua dikteta au?
Sijawahi kuona Jeshi linavaa kofia za Yanga
Leo katika Historia:
Ni siku ya tamasha la Simba ' Simba Day " ambapo timu hiyo inaadhimisha miaka 80 ya Kuanzishwa kwake.
sawa mkuu wa EmiratesNukuu ya leo itawajia hivi punde
Ni mjapenga
Kwel kinastahili kuja hukuUnauliza sifa kwa uchwara?