Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Unadai uko manzese unakunywa juis ya miwa, hiyo wembbley ni ya Tandale?

Hahahahahaaaa
wachana na mupambe mamii, nisikize mimi mamiiMnawasi wasi sana aiseTuwe na subira. Ushindi ni wetu
Uyo achana nae alikuwa serikalini ila sasa kafuliaSielewi kwanini nimetokea kukupenda had najishangaaa![]()
![]()
![]()

Kama anataka wenye pesa angeenda kwa bakhresa but anataka penzi la kweli na amepata@sweetiepieUyo achana nae alikuwa serikalini ila sasa kafulia![]()
Wasiwasi wakati tunaongoza?Mnawasi wasi sana aise
Kipindi cha pili mwalimu atafanya kurekebisha makosa yaliyojitokeza dakika 45 za kwanzaSawa lakini inabidi tutawale game hasa kwa timu kama hizi.
Mkubwa Fella ( Fellaini ) kachoma.Kipindi cha pili mwalimu atafanya kurekebisha makosa yaliyojikeza dakika 45 za kwanza
Kipindi cha pili mwalimu atafanya kurekebisha makosa yaliyojikeza dakika 45 za kwanza
Jamani kweli? had kunipenda huko umenijengea picha gani kwanza kichwani...nisije nikaku disappoint na muonekano wangu bure...![]()

Si ulisema itakuwa yako???Hongera sana mkuu
Me napendaga muziki, jogging, swimming na vitabuJamani hahaha hamna wewe umesema!!...ila napenda tu mtu ukiwa na hobby maalum...mfno kama hvyo wewe mpira, Mimi Netball, vitabu, nyimbo na movie. Ni vizuri kuwa na Hobby
