briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Uko sahihi sana shululu, kahama ni bora maramia kuliko shinyanga nimepitia huko leoKaribu, vp za kahama
Uko sahihi sana shululu, kahama ni bora maramia kuliko shinyanga nimepitia huko leoKaribu, vp za kahama
WeeeOiiii.... Vp kwa J.J sasa, umelivua pendo??
Mkuu piga jaramba tu, patience123 anamimba nakula kila siku ananitoshaaaaa@patience123
HayaUshachelewa wewe
Haha malaika moja hiyo nabadilisha tu recipe za sato.. nimemaliza wa mchemsho anakuja mwingine wa kuchomaAaaaa mkuuu mate yanitoka....kitangiri one, seketoure, kirumba nk

Haha malaika moja hiyo nabadilisha tu recipe za sato.. nimemaliza wa mchemsho anakuja mwingine wa kuchoma![]()
![]()
Sawa kijana kula vitu but uwe makini na mademu wa mwanza ni noma, wanashirikiana na watoto wa mbwa yaani chokoraa, watakomba kila kituWeee![]()
Ntakuua
Nampenda jimena wangu



mkuu hakuna ratio kwenye penzi.. Chagua mmoja!!Mkuu piga jaramba tu, patience123 anamimba nakula kila siku ananitoshaaaaa@patience123





patience123 ukuje hukuKaribuHodiiiii
Kwan kwenda ospital na sweetapple siruhusiwi!!mkuu hakuna ratio kwenye penzi.. Chagua mmoja!!
Unazungumzia wale wa villa pale mbona nawajua vizuri, ni wezi wale![]()
![]()
![]()
Sawa kijana kula vitu but uwe makini na mademu wa mwanza ni noma, wanashirikiana na watoto wa mbwa yaani chokoraa, watakomba kila kitu
J. J analijua hilo??Kwan kwenda ospital na sweetapple siruhusiwi!!
Umeamua jambo la busara sanaAsante sana, nimeanza kuifanya hii leo
Kumbe mtundu eeUnazungumzia wale wa villa pale mbona nawajua vizuri, ni wezi wale
