Naona tunaongoza, sijapenda namba 10 anayocheza WazzaAnhaaaa
Haf time ntakuja hapo tupge stori
Ushachelewa weweAhahahaaa....wananionea ku wivu mamii....Mlembo njoo tuweke malengo ....
HahahaNaona tunaongoza, sijapenda namba 10 anayocheza Wazza
Asante sana kikofiaOk, nmeshamaliza kushusha episode 5 za riwaya, kwa muendelezo tukutane tena kesho wasaa km huu huu.
Nmeleta riwaya kwa udhamini wa QUIGLEY kutupia post ya 78k na Manchester United anashinda mechi ya leo
Hiyo ya 78k nilijua sintaweza kuigombania kutokana na ratiba yangu ila hiyo nyingine count Me inHapa kuna mambo 2, sweetie na 78k, tuone nani washindi

Chopa nimemuelewa vizuriZaza ni zamu ya Bitoz kuleta Updates za mpira hapa
Poleni sana
Bas ntakusindikizeni hapo kesho
Atakuwa alikuwa ana piga kaz ngumu sana

Hongera in advanceHiyo ya 78k nilijua sintaweza kuigombania kutokana na ratiba yangu ila hiyo nyingine count Me in![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Interesting.........
Niko hapa nakunywa juis yangu ya mua niki wa cheki

Kazi gani? 🙂

Tuwe na subira. Ushindi ni wetuHahaha
Hata felaini hachez fresh
Rooney ni jipu
Oui mamii....Bon Chic Bon Genre-BCBG na Kitu pentagon....unamupendaka kumuziki mamii???Hahahaha Werrason lazma unapenda Boringo...mambo ya BCBG![]()
It depends maana maumivu ya uti hayanaga sabbu moja
May be ana beba vitu vizito ana anafanya kaz ngum
May be hatumii godoro la dodoma( hata ulalaji pua husababisha hilo)
Au hata mattzo ya ki homoni na ki baiolojia
So it depends

Sawa lakini inabidi tutawale game hasa kwa timu kama hizi.Tuwe na subira. Ushindi ni wetu