Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Sielewi kwanini nimetokea kukupenda had najishangaaaHahahahahaaaa

Sielewi kwanini nimetokea kukupenda had najishangaaaHahahahahaaaa

Anasema anakaribia WimberleyUnadai uko manzese unakunywa juis ya miwa, hiyo wembbley ni ya Tandale?
Niko poa nambie ShululuUko poa lakini
Ngoja kwa kuwa tutenda wote tuta juaMh inawezekana kweli...ngoja tusikie watamwambia nini kesho.
Niko poa kabisa, hongera kwa 78kNiko poa nambie Shululu
Jamani kweli? had kunipenda huko umenijengea picha gani kwanza kichwani...nisije nikaku disappoint na muonekano wangu bure...Sielewi kwanini nimetokea kukupenda had najishangaaa![]()
![]()
![]()


Mpigie makofi kidogo, 78kSielewi kwanini nimetokea kukupenda had najishangaaa![]()
![]()
![]()
78k ndio nini Shululu?Niko poa kabisa, hongera kwa 78k
Hahaaha
Asante wanguNiko poa kabisa, hongera kwa 78k
Ukarimu wako, jinsi unavyomjibu kila mtu umenivutia sanaJamani kweli? had kunipenda huko umenijengea picha gani kwanza kichwani...nisije nikaku disappoint na muonekano wangu bure...![]()
Jamani kweli? had kunipenda huko umenijengea picha gani kwanza kichwani...nisije nikaku disappoint na muonekano wangu bure...![]()

Jamani hakuna kitu kizuri kama kupendwa...Asante QuigleyUkarimu wako, jinsi unavyomjibu kila mtu umenivutia sana
