Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Kwa advertisement na kusimamia kitu chako hadi kieleweke nakusifu sanaView attachment 377124
Karibuni Mabibo Beach......natoa togwa kwa kila kapuku
Kambale siwapi ng'o
...........
Kwa advertisement na kusimamia kitu chako hadi kieleweke nakusifu sanaView attachment 377124
Karibuni Mabibo Beach......natoa togwa kwa kila kapuku
Kambale siwapi ng'o
...........
Mi nimefundishwa kuitawala akili na mwili hivyo hakuna kitu nisichoweza kuvumilia
Nafanya yote nifanyayo kwa utashi tu na sio tamaa
HahahahaKumbe swetiepie keshawahiwa na werrason?
Kumbe swetiepie keshawahiwa na werrason?

Aisee ntahakikisha hilo halitokeiAna wivu, jilinde asije jinyonga ukasaidie polisi dadake
Haaaa![]()
![]()
![]()
Acha wivu bhana huyo ni mshikaji wa jimena kwa kampani ya hapa na pale nothing more
Umepita lini?Dah huwez amini nimekumbuka wakati nakaribia makuyuni, ubize ulianzia kwenye gari.. Huko kote nlipita nkiwa naongea na simu
Mapenzi wivu buana![]()
![]()
![]()
Acha wivu bhana huyo ni mshikaji wa jimena kwa kampani ya hapa na pale nothing more
Jana naibu waziri alikuwa mabibo Beach Luhaga Mpina kukagua beach, sijui alionana na bitoz au hawakuonanaMasaki mbwembwe tu.
Wamekuwa kaka na dada hawawezi tamaniana mkuuHaaaa
Wana kuwaga hatari haooo
Muulize..Hahahaha
Mi sjui mkuu
Kazi ipo nakwambiaNaona Szczesny anabana mpaka salamu.. Khaa!
Umefundishwa wap hiyo!!?Mi nimefundishwa kuitawala akili na mwili hivyo hakuna kitu nisichoweza kuvumilia
Nafanya yote nifanyayo kwa utashi tu na sio tamaa
Hivi we ni TeamSzcesny au TeamBriz maana sio kwa upambe huo
thithemiKambale gharama kubwa nyie hamnui ni chakula cha kifahari huku kwetuMkuu utamuwa umetuonea, toa kambale watu wapate mboga.
Hasa wasaliti wana wivu sawa na mwizi asiyeweza amini mtu mwingineMapenzi wivu buana
Hana sifa za ugeniJuzi alinambia atakuja af kapotea, af kama mkongwe yule!!! Hamjaona swaga zake???
Tena aweza kuwa ndumeSo shekhe yule yule ndani ya kanzu mpya? Aise wakongwe wana mambo sana
