Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Wana akili haoUnaipendea nini nchi kama hii
Ukifuata masharti tuu uka mfollow kiongozi unaishi tuu
Halafu pamoja na ujeuri wote wanapata vikwazo vingi sana ila wenzetu bado wana songa
Wana akili haoUnaipendea nini nchi kama hii
HahahaUmeona eeh. Ila sometimes yanakera hahaha
Number 2, Democratic People´s Republic of Korea – 38.5 (45.4 wanaume – 35.1 wanake)View attachment 376636 Korea ya kaskazini, moja ya nchi ambazo nazikubali na ngependa kwenda sku moja
Ina kadiriwa watu zaid ya 10000 hujiua kwa mwaka huko Korea chanzo kikiwa ni ukosefu wa demokrasia, na hali mbaya ya ki maisha ina semekana hufka kipindi familia nzima hujiua ili tuu isi kamatwe na serikali ya ki dikteta ya bwana Kim jong un
Ki fupi ukikosea mateso utakayo yapata ni bora ujiondoe mwenyewe kabla ya serikali kukuondoa kwa namna wanazo zitumia ambazo ni brutal
koreaYaa![]()
![]()
korea
Ni kweli kabisa. Hapo unakuta concentration yako Ipo kwenye mechi halafu anakuja swali mbona yule amedaka kwani anaruhusiwa au? HahahaHahaha
Eeeh kuna tym mtu ana kuuliza kitu halaf anakuwa kama ana kusumbua hvi
Sema sasa ndo part ya uzuri nayo iko hapo
hahahaNamba moja itawajia hivi punde
Ngoja niende chooni kwanza
Pamoja mkuu,,,asante sana!!Asanten sanaa kwa kuwa nami
Watu muhim sana nyie
Ni mimi
Szczesny Carrenza aka Field Marshal
Jana alikuwepo shabiki mmoja wa nguvu japo leo kapotea ila nlimkubali sanaa
Adioussss amigo
Potezea....Ni nini shda na wewe!!?
Kuna mtu humu anampa promoNi kweli kabisa. Hapo unakuta concentration yako Ipo kwenye mechi halafu anakuja swali mbona yule amedaka kwani anaruhusiwa au? Hahaha
Ahsante kakaPamoja mkuu,,,asante sana!!
Kaniboa kshenzPotezea....
Mashauzi km ya Suzy
Upuuzi mwachie mbuzi
![]()
![]()
![]()
.............

Asante sana shabiki wa Man UAsanten sanaa kwa kuwa nami
Watu muhim sana nyie
Ni mimi
Szczesny Carrenza aka Field Marshal
Jana alikuwepo shabiki mmoja wa nguvu japo leo kapotea ila nlimkubali sanaa
Adioussss amigo
Nani?Kuna mtu humu anampa promo
Hata sielewielewi
..................
Wanadhani sisi wote ni waheheHahahaha
Basi wazungu wao hilo hawajui
Anatokea Vingongo. forum imedoda sasa huku anafuata LIKES.....Anawazingua mabwegeKaniboa kshenz
Mi hata sja wah mgusa ana nchokoza
![]()
![]()
![]()
HahahAsante sana shabiki wa Man U
HahahahaWanadhani sisi wote ni wahehe