Makapuku Forum

Makapuku Forum

Babe anatakiwa kuwa mshamba kidogo... Siyo unadate binti anajua mpaka Lukaku alifunga mabao mangapi msimu uliopita??...
Demu unakaa naye anamjua Boro Yanki, Van Dame, Bill Branks.... Anakuadithia "anodi ya jini mwanzo mwisho"...
Yaani huna hata kipya cha kumfundisha...
Binti anatakiwa ukimuuliza "Bebi unamjua Rooney?? " anakujibu "Namsikia tuu.. Hivi ameimba wimbo gani?? "
Babe anatakiwa kuwa mshamba kidogo... Yaani eti babe anampenda Undertaker na Marehemu Umaga...
Binti anangaalia Movie ya Wrong Turn hata hajifichi amekodoa mimacho kuanzia mwanzo mpaka list ya majina inapita...
Babe anatakiwa ukiangalia naye Final Destination muda wote kafumba macho... Kila Mara anaongea na waigizaji... "Jamani wewe usiende utakufa huko" Mara unasikia "babe toa hii nitaota"...
Siyo Bae anakaza mdomo kabisa kwa hasira mtu akikoswakoswa kufa unamsikia kudadeki afe tu huyo anakihelehele..
BAE anatakiwa kuwa mashamba kidogo.
#BaeUshambaNiSexy.




Hahaaaa...... Umenifurahisha sana.
 
Number 4, Sri Lanka – 28.8 (46.4 wanaume – 12.8 wanawake)
1470416761836.jpg
hawa ni moja ya nchi zinazo endelea kwa kasi toka wapate uhuru miaka ya mwishoni mwa 1940 cha kushangaza ni matukio ya watu kujiua yanaongezeka kila mwaka na hata sababu hazijulikani, ni kama watu wana jiua for no reason or just for fun or whatever lakini kasi imekuwa kubwa na kila mwaka huongezeka bila kujia vyanzo vya watu kujitoa roho kwa kasi kubwa hvo ni nn
Wengi hujiua kwa sumu na kujinyonga na ndio zimekuwa namna maarufu za Kujiua huko
 
Number 3, South Korea – 28.9 (41.7 wanaume – 18.0 wanawake)
1470417126429.jpg
Yaan hili taifa ni tajiri, linakuwa kwa kasi ki viwanda, wana internet inayo shika kwa haraka kuliko taifa lolote duniani, wana mifumo ya afya na elimu ambayo ni bora kuliko nchi zote dunuani, umaskini na watu kuto ajiriwa ni kama havipo
Lakin cha kushangaza kujiua nako kuna ongezeka inasemekana pengine kuongezeka kwa starehe na mattzo ya kifamilia ndio kuna fanya wao wajiue zaid
(Ila hawa jamaa hako kamchezo wana kapenda hata kwenye drama zao haiishi mtu haja jiua)
Kwa kuwa wao wana udhibiti wa kumiliki silaha wakorea hutumia sana sumu katka kutekeleza tukio hilo pendwa kwenye jamii yao
 
Number 2, Democratic People´s Republic of Korea – 38.5 (45.4 wanaume – 35.1 wanake)
1470417636463.jpg
Korea ya kaskazini, moja ya nchi ambazo nazikubali na ngependa kwenda sku moja
Ina kadiriwa watu zaid ya 10000 hujiua kwa mwaka huko Korea chanzo kikiwa ni ukosefu wa demokrasia, na hali mbaya ya ki maisha ina semekana hufka kipindi familia nzima hujiua ili tuu isi kamatwe na serikali ya ki dikteta ya bwana Kim jong un
Ki fupi ukikosea mateso utakayo yapata ni bora ujiondoe mwenyewe kabla ya serikali kukuondoa kwa namna wanazo zitumia ambazo ni brutal
 
Number 2, Democratic People´s Republic of Korea – 38.5 (45.4 wanaume – 35.1 wanake)View attachment 376636 Korea ya kaskazini, moja ya nchi ambazo nazikubali na ngependa kwenda sku moja
Ina kadiriwa watu zaid ya 10000 hujiua kwa mwaka huko Korea chanzo kikiwa ni ukosefu wa demokrasia, na hali mbaya ya ki maisha ina semekana hufka kipindi familia nzima hujiua ili tuu isi kamatwe na serikali ya ki dikteta ya bwana Kim jong un
Ki fupi ukikosea mateso utakayo yapata ni bora ujiondoe mwenyewe kabla ya serikali kukuondoa kwa namna wanazo zitumia ambazo ni brutal
Unaipendea nini nchi kama hii
 
Namba 1, Guyana – 44.2 (70.8 wanaume – 22.1 wanawake)
1470419054655.jpg
nchi ndogo kabsa huko amerika ya kusin ikiwa na watu takriban 700000 kasi ya kujiua iko juu sana ambapo asilimia ya watu wanao jiua nchini humo ina izidi mara 4 asilimia ya watu wanao jiua dunia nzima,
Umaskini wa kutupwa, matumizi mabaya ya vilevi(pombe na drugs nk) na pia uwepo wa uzalishaji mkubwa wa sumu mbali mbali(hasa za kuulia wadudu walao mazao) una fanya watu wajiue kwa kasi
Pia wana sema ki historia kuna utamaduni wa watu wa nchi hyo ambapo wengi walijiua kwa imani zao za kienyeji na kujitoa sadaka kwa miungu yao japo hili ni jambo la kizamani wataalamu wana dai huenda pia la changia
 
Babe anatakiwa kuwa mshamba kidogo... Siyo unadate binti anajua mpaka Lukaku alifunga mabao mangapi msimu uliopita??...
Demu unakaa naye anamjua Boro Yanki, Van Dame, Bill Branks.... Anakuadithia "anodi ya jini mwanzo mwisho"...
Yaani huna hata kipya cha kumfundisha...
Binti anatakiwa ukimuuliza "Bebi unamjua Rooney?? " anakujibu "Namsikia tuu.. Hivi ameimba wimbo gani?? "
Babe anatakiwa kuwa mshamba kidogo... Yaani eti babe anampenda Undertaker na Marehemu Umaga...
Binti anangaalia Movie ya Wrong Turn hata hajifichi amekodoa mimacho kuanzia mwanzo mpaka list ya majina inapita...
Babe anatakiwa ukiangalia naye Final Destination muda wote kafumba macho... Kila Mara anaongea na waigizaji... "Jamani wewe usiende utakufa huko" Mara unasikia "babe toa hii nitaota"...
Siyo Bae anakaza mdomo kabisa kwa hasira mtu akikoswakoswa kufa unamsikia kudadeki afe tu huyo anakihelehele..
BAE anatakiwa kuwa mashamba kidogo.
#BaeUshambaNiSexy.




Daaah
Mi mwenyewe mtu ana jua kila kitu uwa sipendeleii hahah
Kuulizwa ulizwa nako kuna raha yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom