Makapuku Forum

Number 8, United Republic of Tanzania – 24.9 (31.6 wanaume – 18.3 wanawake) hahahaaaaaa! Ili msihe sema nna wasingiazia ngoja niwaletee kile wazungu wenyewe walichi andika
"Many of Tanzania´s 45 million inhabitants suffer from various major problems including poverty, hunger, violence, lack of health care facilities, spread of HIV infection etc., which contributes to the very high suicide rate in this East African country. Suicidal behavior is sadly frequent even among children and students who often try to take their lives due to family problems, stress, school failures and other reasons."
Teh teh nchi hiii jaman tuna tia huruma kila kitu cha ajab siye!!!!!
 
90% ugumu wa maisha

..............
 
Huyu mama alikuwa wa aina yake
 
Numer 7, Mozambique – 27.4 (34.2 wanaume– 21.1 wanawake) Msumbuji majirani zetu hawa hali yao si nzuri wakat UKIMWI na umaskini viki wandama pia wana life expectancy ndogo pengine kuliko mchi nyngne zote
Na vifo vya watu wanao jiua hufikia hata zaid ya 3000 kwa mwaka
Habar ndo hyo
 
Apumzike kwa amani Nyerere wetu
 
Mmerithi kwa mkwawa
 
Number 5, Lithuania – 28.2 (51.0 men – 8.4 women) hii ni nchi ambayo watu wanajiua zaid kwa upande wa Ulaya na wana sema miaka ya 1990 ilikuwa ni kama utamaduni kwani watu walijiua sanaa
Kutokana na matatizo ya kiuchumi na ki jamiii watu wa eneo hilo nao wamekuwa wakijiwahisha kunako pepo japo wanasema hali hii sasa imepungua kwa kwasi na kulifanya taifa hili li shke namba 5 kwa dunian nzima
Jambo ambalo kwao ni mafanikio makubwa
 
Asante kwa ushauri braza.
 
Katika watu 10 wanaojinyonga Tanzania 6 ni wahehe 4 ndio makabila mengine
 
Umaskini ni mbaya sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…