Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Nimeiboresha comment mimi km Mimi kwenda na wakati au kuongeza mvuto au mengineyoTatizo umeandika posts nyingi sana nina wasi wasi kama unarejea zote za uliyoyaandika,
Mwanzoni uzi huu ulikuwa na intro ya maneno yaliyoko kwenye link hiyo hapo chini ambayo alikunukuu Retired Mp (Bonyeza click expand kuyasoma yote)
Makapuku Forum
--------------------------------------------
Baada ya kusoma utangulizi/intro huo niliwashauri mfungue uzi mwingine kwenye jukwaa la malalamiko. Pia nilitaadharisha wazoefu wa JF kuwa wabadili uandishi wao ili kuepusha kuanzishwa Makapuku forums inayolenga kuwavuta 'wanaodharauliwa' hapa jukwaani angalia link hii hapa chini.
Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums...
========================================================
Nadhani umepata majibu.
Acha kupotosha sijashauriwa na mtu na ht hiyo comment yako sijawahi kuiona
__mtu yoyote anaedit post yake kwa malengo Fulani....kwabiyo ht kesho nikijisikia naedit km kuna kitu nataka kuweka
NB:
SIJASHURUTISHWA NA MTU WALA KUFUATA USHAURI WAKO
.................................