Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Leokatika Historia:
1974 - Killy Gonzalez anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa klabu za Valencia, Inter Milan na Timu ya Taifa ya Argentina.
HBD Killer
............
Leokatika Historia:
1974 - Killy Gonzalez anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa klabu za Valencia, Inter Milan na Timu ya Taifa ya Argentina.
Ulitakaje ?Hot kapuku songs?
Ila amekomaa sana usoni mi nilikuwa najua kazaliwa chini ya hapoRais wa Dunia anaelekea Uzeeni sasa.
Leo katika Historia:
1985 - Antonia Valencia anazaliwa.
Ni winga/ beki wa kulia wa klabu ya Man Utd na Timu ya Taifa ya Ecuador.
Hiyo keki pia kabuni yeye

Jamaa ni mkimya, halafu ana nidhamu ya hali ya juu sana. Anavyochomekea kipapaa sasa!!View attachment 375837View attachment 375838View attachment 375839
Sifa yake kuu ni ukimya
...........
Upara ni dalili ya kupungukiwa akili.Naona picha ya chini akipigiwa saluti za kifashisti.
Ogopa sana watu wenye viwalaza na upara, sio viongozi wazuri, wanaamini zaidi kwenye matumizi ya nguvu na ubabe.
Tuwekee na picha ya ujana wake
hahaha...au kapunguza UmriIla amekomaa sana usoni mi nilikuwa najua kazaliwa chini ya hapo
na mahindi ya kuchomaMuuza pipi
![]()
![]()
![]()
.......
Kwa rangi ile ni ngumu sana rushwa kuishaNaona wabunge wa chama cha majipu wameachiwa huru.
Rushwa haiwezi kuisha kirahisi.
Niliwaona AFCON wanafanana na ng'ombeaka Burkinabe.
Kule miaka haipunguziki, maana ukizaliwa tu inaingia moja kwa moja kwenye systemhahaha...au kapunguza Umri
Asante na iwe njema kwako piaAsante sana JJ.
Uwe na siku njema.
Mavazi yamembebaJina lake linaishi mpaka leo.
Asante sana kwa magazeti ya leo, JJView attachment 375827View attachment 375828
Na kufikia hapo basi sina la ziada, kumbuka tu magazeti haya yaliletwa kwenu kwa udhamini wa Rais mzee kuliko wote duniani...
Niite Jimena Jimenes
Bye bye

Bongo 70 yrs bahati nasibuKimekula chumvi, miaka 101 sio masihara.
Lugola ni mtu safi sana, alistahili kuwa huruNaona wabunge wa chama cha majipu wameachiwa huru.
Rushwa haiwezi kuisha kirahisi.