Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 5, Bhumibol Adulyadej, Thailand View attachment 375548 mfalme wa Thailand ambaye si mzee kuliko wote lakin ni mkuu wa nchi wa muda mrefu kuliko wote yeye ame pata ufalme mwaka 1946, Lèse-majesté ambazo ni sheria za Thailand zna kataza kuwepo na andiko lolote linako husu miaka ya wafalme
Kwa hiyo na mie sita waambia ana miaka mingapi
Ukitaka nitafte kwa muda wako
Fix

.......
 
Number 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....

Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Huyu nilimtegemea sanaaa
 
Number 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....

Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Sio 2018 tu, huyu babu alisema ataendelea kuiongoza zimbabwe hata akiwa kaburini
 
Asante sanaa wakuu kwa kuniskiliza hapa

Nawaacha na msemo unao sema

"Usiishie kufuta machozi tuu, wafute kwenye maisha yako wale wootee wanao kuliza pia"

Hivo yaaan
1470250406975.jpg
 
Number 4, Abdul Halim of Kedah, Malaysia View attachment 375549 huyu ana miaka 88 na ndiye kiongozi mwenye jina refu kuliko yote dunuani kwani kwa majina yake rasmi ana itwa moniker Almu’tasimu Billahi Muhibbuddin Tuanku Alhaj sir Abdul Halim Mu’adzam Shah Ibni Almarhum Sultan Badlishah.

Ni mfalme lakin wana mtindo wao wa ajabu ajabu mie si uelewi
Kwao mfalme ni kiongozi wa mapambo tuu kwani ma waziri wakuu ndo wana nguvu
Itabidi nijipe jina nim-overtake
 
Number 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....

Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Comrade
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom