Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 1, Robert Mugabe, Zimbabwe
1470249170674.jpg
ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....

Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
 
Number 1, Robert Mugabe, Zimbabwe View attachment 375557 ana miaka 92 kawa kiongozi kwa zaid ya miaka 35 na hata onana na wapuga kura hadi 2018,
Kiongozi huyu ana julikana kwa quites mbali mbali za kijamii, kisiasa na hata za kuchekesha
Amejizolea umaarufu mkubwa kwa maneno yake na hekma zake hasa kwa vijana wa ki afrika....

Achen utani huyu naye mna mfaham, usinchose nskuchoshe huyu ndo Mugabe huyo huyo unaye mjua, kama humjui ka google
Vijana wanataka kumtoa madarakani kwa maandamano
 
Number 4, Abdul Halim of Kedah, Malaysia View attachment 375549 huyu ana miaka 88 na ndiye kiongozi mwenye jina refu kuliko yote dunuani kwani kwa majina yake rasmi ana itwa moniker Almu’tasimu Billahi Muhibbuddin Tuanku Alhaj sir Abdul Halim Mu’adzam Shah Ibni Almarhum Sultan Badlishah.

Ni mfalme lakin wana mtindo wao wa ajabu ajabu mie si uelewi
Kwao mfalme ni kiongozi wa mapambo tuu kwani ma waziri wakuu ndo wana nguvu
Hilo jina ni kiboko, ni zaidi ya mwendokasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom