briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Daslam tambarare..Dar inalipa
Daslam tambarare..Dar inalipa
Inaelekea halipi
Utasubiri sanaaView attachment 373142
JimenaView attachment 373144
Chausiku
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...............
Jiji limependeza sanaView attachment 373135
Njoo mitaa ya kati mkuu
SanaJiji limependeza sana
Hahaa... Kawauzia wenzie huyo..Number 6, Garth Brooks – 145 Million View attachment 373040huyu bhan mie mwenyewe simjui ila naskia et ni msanii mzuri na kauza sana
Hahahaa what a joke!!! We dont even know him
Dah... Mzee ana mifweza, title kubwa, lakini ni mchokozi.Number 5, Elton John – 162 Million View attachment 373044mzee wa sacrifice,mzee wa nyimbo kali za mapenzi na za taratibu huyu ni msanii solo ambaye kauza zaid uingereza ni mtengenezaji wa kazi ya sanaa ilo uza zaid uingereza akishka namba mbili nyuma ya the beatles
Mnamo mwaka 1997 wimbo wake wa “Candle in the Wind,” uliuxa nakala 33 milioni ni singo pekee kuuza zaid duniani
Lakin pia huyu ana yale mambo ya kina james delicious au kaoge wa zamaradi kwa hiyo mimi huwa na pretend kama ha exist duniani na leo na pretend kama nme toa top 9
Anaimba miondoko gani huyu kiumbe
Bitoz..... Plz ukuje kwa hukuNumber 1, The Beatles – 265 Million View attachment 373066 una faham neno bitoz lilitokea wapi wewe!!!?
Hawa jamaa walikuwa ni vijana watanashati, wanao vutia na wasafi (japo si WCB) na watu walio kuwa na pigo hzo ndo waliitwa ma bitoz ku reflect bendi hii ilivo kuwa so vijana wengi wa kipind hiko walijiita ma bitoz
Hawa walikuwa wana uza nakala za miziki yao zaid hata ya bible
Wanaongoxa kwa nyimbo zao zaid ya 20 kufika namba 1 kwenye chati mbali mbali dunuani
Wanakadiriwa kufika nakala 300 milion officially miaka ya karibuni kama wakiendelea kuuza kwa mwendo wano endelea nao zaid
Good, good tu ndugu yangu.Safi mbaba
Za weekend
Jimena anakamata nafasi ya 0.Na jimena je?[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
khaa alkali ndo umekua mrembo ivi [emoji15] [emoji39]View attachment 373142
JimenaView attachment 373144
Chausiku
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
...............
Same to u ndugu yetuUsiku mwema family
[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113][emoji113]
N i poaMambo niaje wadau?
Niajeee mkuuHabari za kuamka wakuu
Kwema mkuu, habari za hukoNiajeee mkuu