shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Undezi upi tenaAcheni undezi
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
..............
Cc bitoz
Undezi upi tenaAcheni undezi
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
..............
Nyama ya papai na mbegu zake [emoji4] [emoji4]Papai ukilikata katikati unaona nini
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.............
Nawe piaNawapenda sana mlale unono[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
Usiku mwema. Twakupenda piaNawapenda sana mlale unono[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
Poa poa, pamoja sana mkuuWeekend iko poa sana mshkaji
Mbona unalala mapema hivo?Nawapenda sana mlale unono[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
Umepangilia vizuri sana hiyo stori
Chausiku wa BitozFIX ZA BITOZ VIII:
Bitoz Nyangema km kawa akitamaring pande za Mabibo Beach na kuvizia vitoto vya Loyola vyenye nyodo!!! Basi bhana nikapiga T-shirt ,jeans na raba za kuazima(siyo km za Th Name) huyoooo hadi relini nikatimba gari za Mabagala kupiga middle kwa best wangu Side Mnyamwezi(haachi ht Vikudwi)
Sasa nikiwa kwenye basi nimekaa Mara kikaingia Kishkwambi kikasimama mbele yangu kikaanza kunikodolea macho ya kunizimia nikajifanya sikaoni,basi kufika Tazara si kakanipa simu eti nimshikie(kwani mzito?)
Basi mtoto wa mjini nikamshikia zen nikaweka # yangu nikabeeeeep....duh kumbe kinashuka pale Kiwalani hivyo kilinipa kusudi tu
Sasa nikafika Mbagala nikampa stori Side Mnyamwezi akacheka akaniambia umeokota embe mwanangu Kishkwambi kinakutaka hicho......basi baada ya mastori yetu nikageuza
Mara kisimu changu cha mchina kikazimanjiani so kufika home nikaweka kwenye chaja
Usiku wa saa 2 kukiwasha si nakuta meseji kibao kutoka kwa yule Toto akazuva anaitwa Winnie .....baada ya hapo ukawa ndo mwanzo wa tokoto letu na siku za baadaye nikagundua anaitwa Chausiku anakaa Mabibo hukuhuku ni mtoto wa mama ntilie maarufu
Hadi now Chausiku ni demu wangu na simuachi ng'o hata mkinicheka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....................
Ndio sio kunywa virobaWasanii wa kibongo wenye sauti nzuri wana haja ya kujifunza kumaintain sauti zao ka huyo mama
Dar inalipaView attachment 373135
Njoo mitaa ya kati mkuu
Chausiku wa Bitoz
Bongo daslam mida ya usiku unaweza kudhani umedondoshwa newyork aiseebalaa mkuu kumeshain
Hahahah umetisha sana... Viroba na NganoNdio sio kunywa viroba
Inaelekea halipiHakuhusu
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
..............
Nyama ya papai na mbegu zake [emoji4] [emoji4]
KabisaBongo daslam mida ya usiku unaweza kudhani umedondoshwa newyork aisee
Hahaha huwa wanazuga sana [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 373133
Mwanzo nilivyomleta gheto alizuga hanywi togwa wkt kwao wanakalia stuli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.............
Ha ha ha shauri yaoHahahah umetisha sana... Viroba na Ngano