Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Wakenya huu unyanyasaji utaisha lini??Nilikuwepo mbona sema we ndo ukawa ukija hunikuti![]()
Pitia basi hapo
ukanisaidie kuwapasha majiraniWakenya huu unyanyasaji utaisha lini??Nilikuwepo mbona sema we ndo ukawa ukija hunikuti![]()
ukanisaidie kuwapasha majiraniHali vipi pande hizo mkuu?Naamini hivyo asante, vipi leo umepata hata lika!...mvinyo
Leo hapana,Naamini hivyo asante, vipi leo umepata hata lika!...mvinyo
Unapumzikaje huku unatype??Nimepumzika si nilikwambia sipo sawa
![]()
![]()
![]()
...............
Afu bora hata hyo simu yenyewe inayoita iwe ya maana basi.. Utakuta ni kamchepuko tu kanataka kumpa hi![]()
![]()
![]()
kuna Watu hawana staha
Hahahaa... Usijali, wapo wa kutosha. Karibu kaka.Asante, hebu tuma hata samaki mkuu
Hahaha itakua kupumzika hakuhusishi vidoleUnapumzikaje huku unatype??

Simu zinatupelekesha sanaKwa kweli simu zimetushinda watu wengi sana
Utakuta mtu una ongea naye hata hakuangalii
Ana itikia tuu mmh mmmh mmhh
Inaboaa
Nakupata sana mkuu, nafurahi unavyojitahiti kupenyeza ubunifu wakoVingongo= Wakongwe
![]()
![]()
![]()
![]()
...........

HahahaaLeo hapana,
Maji tu
Wao wana spidi ya bike, sie ni ya gari hivyo haviingiliani kabisa.Jamani mmepania mmeweka spidi 120 si mtaua forum ya vingongo
![]()
![]()
![]()
.............
Umeanza upapai sasaUnapumzikaje huku unatype??
Ni kweli kabisa.Only in Tanzania
Hata mi nahisi hivyo. Vinginevyo asingesomeka hapaHahaha itakua kupumzika hakuhusishi vidole![]()
![]()
Ila lisiwe la mkokoteni please.Unga tela
Hili nalo ni janga.. Muheshimiwa inabidi aangalie namna ya kutumbuaSimu zinatupelekesha sana
Hivi bado ipo ile forum ya kuitana majina kama shule?Wao wana spidi ya bike, sie ni ya gari hivyo haviingiliani kabisa.
Yako poa ila nna majukumu mazito sana.., ila ngoja nijitahidi.Hivi Jana ndo ukanifanyaje sasa?
Mambo vp lakini?
naumia sana nikikosa huku sema ndo hvyo pesa mbele kwanza... nikifanikiwa hii mishe nnayoifanya ntawashirisha na nyie wadau
Nchi yetu imejaa vituko na inatubidi vituko tufanye kama moja ya kivutio kikuu Tanzania. Hahahahaa.....Kweli hakuna namna.. Nchi ya wote híi, inabidi kuvumiliana tu