Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1980 - Dirk Kuyt anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Liverpool na timu ya Taifa ya Uholanzi.
1469166221737.jpg
1469166231890.jpg
1469166237445.jpg
1469166244292.jpg
 
Leo katika Historia:

1992 - Pablo Escobar anafanikiwa kutoroka gerezani huko Medellin nchini Colombia.

Ni mmoja kati ya wafanyabiashara hatari na tajiri wa Madawa ya Kulevya kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.

Alikuwa na utajiri wa kutosha lakini hakuwahi kutambuliwa kwenye orodha ya matajiri wa dunia kwa kuwa vyanzo vya mapato yake ni biashara haramu.
1469166776065.jpg
1469166781837.jpg
1469166788016.jpg
1469166799793.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom