Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kumbe walimaanisha

amenBwana asifiwe..
Amina afande..
Hadi mbwa ana degreeWahaya![]()
Hapana chezea kabisaHadi mbwa ana degree
Haha hii ni kweli kwa asilimia kubwa sana
Mbona mapema au vuguvugu la vyeti feki limekukabaMuwe na usiku mwema wakuu
Muda huu?Muwe na usiku mwema wakuu
AfadhaliNukuu ya leo itawajia hivi punde
Huyu alitisha kwakweliNimekuwa na mfumo wangu wa maisha, sitaki kuubadilisha eti kwa sababu mimi ni Rais, napata kipato kikubwa zaidi kuliko nachohitaji, hata kama kipato hicho kwa wengine si kikubwa. Kwangu mimi, si suala la kutoa sadaka bali ni suala la wajibu. Haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Uruguay, Jose Mujica alipokuwa akizungumza uamuzi wake wa wa kugawa asilimia 90 ya mshahala wake kama sehemu ya Msaada kwa yatima na wengine wasiojiweza. Mujica alizaliwa Mei 20,1935,alikuwa Rais wa 40 wa Uruguay akiongoza taifa hilo kwa muhura mmoja tu Kati ya 2010 hadi 2015
Karibu tenaKitambo sana sijaibuka pande hizi kutokana na majukumu ya ujenzi wa taifa.
nawasalimu sanaaa ndugu zangu makapuku
Nadhani 15nmekuja best, hivi tuliishia episode ya ngapi?