Kama atanunuliwa itakuwa hovyo kabisa. Kuna wachezaji wazuri tu kuzidi huyo pauloDomourinho anaharibu..mi huyu visikio sioni km ana jipya zaidi ya style za nywele na masikio ya sungura
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Shukrani mkuu.Sina la ziada, nukuu za leo zimeletwa kwenu kwa hisani ya mzee wa tetesi za usajiri huku majuu
Mi simpendi huyo viskio.....ni money wastage TUKama atanunuliwa itakuwa hovyo kabisa. Kuna wachezaji wazuri tu kuzidi huyo paulo
Msilalamike bado mapema hiviMi simpendi huyo viskio.....ni money wastage TU
.........
Mugabe katika ubora wakeNUKUU NO 1# . Hatutajali chochote kuhusu vikwazo venye masharti ya kutupiga marufuku kuingia Ulaya. Sisi si wenyeji wa Ulaya. . Haya yalisemwa na Rais wa Zimbabwe, ROBART MUGABE, Mugabe alizaliwa February 21,1924, ameiongoza nchi hiyo tangu Dec 31,1987. Mugabe alishiriki katika harakati za kusaka uhuru wa nchi yake, huku jamhuri ya Muungano wa Tanzania,chini ya baba wa Taifa mwl Julius kambarage nyerere ikifanikisha harakati hizo
Aliongea point sana mama TheresaNUKUU NO 2# . . Tunadhani wakati mwingine kwamba umaskini ni kukabiliwa na njaa, kukosa mavazi na makazi. Lakini umaskini wa kutengwa, kutopendwa na kupuuzwa ni mkubwa zaidi. Ni lazima tuanze kuwekeza juhudi katika makazi yetu kurekebisha umaskini wa namna hii. . . . Haya yalisemwa na mtawa mashuhuri Duniani, Mama Teresa wa Calcutta. Mama Teresa alizaliwa Agosti 26,1910 na kufariki Dunia September 5,1997. Anatajwa kuonesha upendo wa hali ya juu kwa masikini na wasiojiweza maeneo mbali mbali Duniani
Mpira hauchezwi chumbaniMsilalamike bado mapema hivi
Asante sana kwa nukuu ya leoSina la ziada, nukuu za leo zimeletwa kwenu kwa hisani ya mzee wa tetesi za usajiri huku majuu
Picha ya Mugabe je kwa tusiomjuaMi simpendi huyo viskio.....ni money wastage TU
.........

Sisi tumemsajili takuma, lakini hatulalamiki, ninyi pogba mnaMpira hauchezwi chumbani
Tunajua kiwango chako
![]()
![]()
![]()
![]()
.........

Tatizo hiyo pesa ya usajiliSisi tumemsajili takuma, lakini hatulalamiki, ninyi pogba mna![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tena sanaMi simpendi huyo viskio.....ni money wastage TU
.........
Muongo wwPicha ya Mugabe je kwa tusiomjua
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tena sana
Tatizo hiyo pesa ya usajili
Visikio kiwango chake siyo cha kumnunulia pauni mil 100+Sisi tumemsajili takuma, lakini hatulalamiki, ninyi pogba mna![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yule kwenye 30 au 25Visikio kiwango chake siyo cha kumnunulia pauni mil 100+
Hilo linajulikana
.........