Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Tafiti za kibongo auHizi tafiti nazo mhhh
Tafiti za kibongo auHizi tafiti nazo mhhh
Hiv jaman hakuna njia nikaweka kabisa post yangu ya 100k, maana mussolin ananinyima raha...
![]()
![]()
![]()
nipost kabsa 100k, nyie muwe mnajazilizia tu. Post yangu inakuwa inawasubir mbele huko.




good idea, chek na mods wanaweza wakakufanyia maarifaDah mchana nlikua tight nimepiga ndefu bila kupenda hivi nnaweza nikalipizia jioni? Jioni iwe 2 in 1Jmn za muda hum polen na kaz krbn chakul cha mchn na wengn niwatakie mlo mwem pia wengin mungu awasaidie muwez pat riziki

Hii speed tunaelekea 5G sasaZa mchana, hii speed ya kapuku inatisha sana
Ni wimbo wa nan?#TooMuch huu wimbo ni balaa
Edo kasema ukweli kabisa..pogba sio wa thamani kiasi cha iyo pesa..
Kweli kabisa aiseeHii speed tunaelekea 5G sasa