NUKUU NO 2# . . Tunadhani wakati mwingine kwamba umaskini ni kukabiliwa na njaa, kukosa mavazi na makazi. Lakini umaskini wa kutengwa, kutopendwa na kupuuzwa ni mkubwa zaidi. Ni lazima tuanze kuwekeza juhudi katika makazi yetu kurekebisha umaskini wa namna hii. . . . Haya yalisemwa na mtawa mashuhuri Duniani, Mama Teresa wa Calcutta. Mama Teresa alizaliwa Agosti 26,1910 na kufariki Dunia September 5,1997. Anatajwa kuonesha upendo wa hali ya juu kwa masikini na wasiojiweza maeneo mbali mbali Duniani