briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Fresh tu mzee wa nukuu, michakato inaendaje?Za mchana makapuku
Fresh tu mzee wa nukuu, michakato inaendaje?Za mchana makapuku
Naona leo jukwaa limepoa sanaaPoa kaka safi sana, jitahidi sana asiwe anaboreka![]()
Sio kwenu tu karibu robo ya joto city leo hakuna umemeKwetu hakuna umeme Leo cm haina chaji
Baadae ndugu
...............
Karibu sana jiskie uko nyumbaniNzuri tu sijui kwako
Alphaking

Wikend leo wadau wako bize na familiaNaona leo jukwaa limepoa sanaa
Michakato inaenda vizuri, vp pande hizoFresh tu mzee wa nukuu, michakato inaendaje?
Awapi... wakati wako busy na kitwangaWikend leo wadau wako bize na familia

Pande hizi kwema tunakosa umeme tu, wanatufanya tufikirie kwenda kwenye viti virefu bila kupendaMichakato inaenda vizuri, vp pande hizo
Awapi... wakati wako busy na kitwanga
![]()
![]()
![]()



wengine ndio, wengine wamepumzika tu na familiaSisi Jana tumelala bila umemePande hizi kwema tunakosa umeme tu, wanatufanya tufikirie kwenda kwenye viti virefu bila kupenda
Doh! hawa taanesiko wanafeli sanaSisi Jana tumelala bila umeme
Nchi ya viwanda, Bila power sijui kama tunawezaDoh! hawa taanesiko wanafeli sana
Hii ni kama ndoto ya mchana kwa kweli, hakuna muwekezaji wa kuwekeza kwenye umeme wa magumashi namna hii hata ngekua mieNchi ya viwanda, Bila power sijui kama tunaweza
Ndio hivyo, lakini Kuna watu ukiwaambia hivyo,wanakuona kama vile hupendi mafanikio, lakini ndio ukweli wenyeweHii ni kama ndoto ya mchana kwa kweli, hakuna muwekezaji wa kuwekeza kwenye umeme wa magumashi namna hii hata ngekua mie
Nakuelewa sana huwa naona kule jukwaa la politics jinsi watu wanatokwa povu wakiskia hivo unaonekana kama si mzalendo japo mi sijawah ona nchi iliyoendelea secta ya viwanda bila kuwa na umeme wa kutosheleza na reliableNdio hivyo, lakini Kuna watu ukiwaambia hivyo,wanakuona kama vile hupendi mafanikio, lakini ndio ukweli wenyewe
Wengine hatunaga cha saturday mkuuwengine ndio, wengine wamepumzika tu na familia
KabisaNakuelewa sana huwa naona kule jukwaa la politics jinsi watu wanatokwa povu wakiskia hivo unaonekana kama si mzalendo japo mi sijawah ona nchi iliyoendelea secta ya viwanda bila kuwa na umeme wa kutosheleza na reliable
Nasubiri bahati na sibu ya vocha, nko gado kupambania ushindiWengine hatunaga cha saturday mkuu

Leo niwie radhi vijana wangu wamebana, monday utapata tukijaaliwa mkuuNasubiri bahati na sibu ya vocha, nko gado kupambania ushindinmepozi hapa jirani, nikisubiri![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hapo sawa.. nakusalimu ktk jina la bwana.Leo niwie radhi vijana wangu wamebana, monday utapata tukijaaliwa mkuu