Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Asante, nilipata wasiwasi sanaPole kwa tatizo hilo lililotukumba wote
Asante, nilipata wasiwasi sanaPole kwa tatizo hilo lililotukumba wote
Alaf kilichoniogopesha zaidi ni pale Jf ilianza kuzingua baada ya kumtusi bitoz kwa njia ya picha. Nkjua basi hapa tayar nmeshapigwa ban
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Uwanja ni wakoAhsante kwa magazeti, ngoja sasa nijimwage!!
Hivi huyu ana undugu na huyu rais wa sudani kusini wa sasa?Leo katika Historia:
1979 - Rais wa Iraq, Ahmed Hassan Al- Bakr anajiuzulu na nafasi yake inachukuliwa na Saddam Hussein.
Hapana nimeshachoka nayo,Hivi ile ya danny kule jukwaa pendwa bado unaifwatiliaga?
Ni kweli kabisaItabiid Mods watuombe radhi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Happy birthday BaleLeo katika Historia:
1989 - Gareth Bale anazaliwa.
Mchezaji ghali zaidi duniani anayecheza Real Madrid na timu ya taifa ya Wales.
Huyu jamaa anakulaga matembeleLeo katika Historia:
1987 - Mousa Dembele anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Ubelgiji na klabu ya soka ya Tottenham.

Tz hawajui dhana ya uwajibikaji hata wafanya biashara nao vilevile, suala la kuomba radhi kwa wateja huona ni kujishusha thamaniNi kweli kabisa
Basi ntakuwa nakushtua..Hapana nimeshachoka nayo,
Uongo mwingi wahusika kila siku wapya halafu haiendelei, siku ikiendelea uniambie ili nikachungulie
Shukrani sana kwa historia, uwe na sabato njemaSina la ziada toka maktaba yangu, tukutane kesho hapahapa kwa Udhamini mnono tena wa nguvu toka kwa Medeama.