Makapuku Forum

Makapuku Forum

Basi wewe siyo dogo tenaa, unafaa kuitwa mkongwe
7f9df03788dfce2f3215a9e538ec04e8.jpg

Hawapatani
............
 
Kutokana na kutokuwepo hewani kwa jf jana jioni, nilishindwa kurusha kile pindi chetu cha (je wajua?).
Hivyo naomba kufidia muda huu kabla jimena+musolin5 hawajaingia studio..
Asante kwa kunielewa na ubarikiwe
 
TETEMEKO BAYA ZAIDI LILILOWAHI KUTOKEA
1) Je wajua?
Tetemeko baya zaidi lililowahi kutokea duniani ni lile la mwaka 1960, huko Valdivia- Chile, ambalo lilisababisha vifo vya watu 1700 nyuma ya tukio la tsunami iliyopoteza maisha ya watu 2000.
Tetemeko hilo lilikuwa na kipicho cha richa 9.4-9.6. Pia lilisababisha hasara ya dola 600 million.
Nchi ya Chile inajulikana kama nchi ya MATETEMEKO
1468644219342.jpg
1468644224670.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom