Makapuku Forum

Makapuku Forum

Basi wewe siyo dogo tenaa, unafaa kuitwa mkongwe
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
7f9df03788dfce2f3215a9e538ec04e8.jpg

Hawapatani
............
 
Kutokana na kutokuwepo hewani kwa jf jana jioni, nilishindwa kurusha kile pindi chetu cha (je wajua?).
Hivyo naomba kufidia muda huu kabla jimena+musolin5 hawajaingia studio..
Asante kwa kunielewa na ubarikiwe
 
TETEMEKO BAYA ZAIDI LILILOWAHI KUTOKEA
1) Je wajua?
Tetemeko baya zaidi lililowahi kutokea duniani ni lile la mwaka 1960, huko Valdivia- Chile, ambalo lilisababisha vifo vya watu 1700 nyuma ya tukio la tsunami iliyopoteza maisha ya watu 2000.
Tetemeko hilo lilikuwa na kipicho cha richa 9.4-9.6. Pia lilisababisha hasara ya dola 600 million.
Nchi ya Chile inajulikana kama nchi ya MATETEMEKO
1468644219342.jpg
1468644224670.jpg
 
Back
Top Bottom