briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Karibu...Hodi hapa Makapuku..
Karibu...Hodi hapa Makapuku..
Dah mimate yangu mie
usiwaze...Mussolin5 si ukaandike kitu pale jamani.... Nimeona![]()
Celery ndo hua zinafanya salad lakini ni tofauti kidogo na hizo za kwenye pichaHii picha nimeitolea mtandaoni tu baada ya kuiona lakin nishawah kuila, kuna baadhi ya flight unaweza kukutana nayo kama salad
Pamoja sanausiwaze...
Kwan hizo celery zikoje mana kuna siku nilizila hizo kwenye picha ila nlisahau tu kuuliza, ilikua salad kule buziness class wakat narud nlikua economy sikuzionaCelery ndo hua zinafanya salad lakini ni tofauti kidogo na hizo za kwenye picha
Hapa niko na bordeaux 1987 sijui unaipendaga mana ile ya Szczesny bado sijaichukuaYeahh just glass of![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Shukrani.Pole sana uninstall application kisha uinstall tena
Nimekuweka kwenye list tayari
Karibu sana na ujisikie uko nyumbani
Hahaa.. Haya tiyariKwa hisani yenu wote jamani nawaomba mkaseme kitu kwenye huu uzi![]()
![]()
![]()
![]()
nataka upande juu tu basi
![]()
![]()
Happy Birthday Jimena !
Nakosa hata maneno ya kumuelezea huyu mtu...![]()
Alexis Sanchez
..............
ShukraniHahaa.. Haya tiyari
Pesa sabuni ya roho.. Ila si sabuni ya magadi mjue, sabuni hii ni sabuni zetu zile..
Si wamemleta patna wake anaitwa TakumaNakosa hata maneno ya kumuelezea huyu mtu...
Fundi, mpambanaji, king'ang'anizi, mpekupeku.. Ana jitihada sana uwanjani, ila arsenal wanazizika jitihada zake.. Mpaka naichukia arsenal yangu.
Mbona km jiko la mchina
Hahaaa... Nyambaf kabisa wenger na wachezaji wa ajabu, arsenal haipaswi kuwa ya wachezaj wa "future tense", inafaa kuwa ya "present tense"Si wamemleta patna wake anaitwa Takuma
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.............