Makapuku Forum

Makapuku Forum

03032e834e1029708660a5ad79aa4028.jpg
Huoni usajili bomba.....season hii watachukua

..............
Takuma Asano
 
NUKUU NO 2# . Uaminifu na imani katika mioyo ya wanachama wa TANU ni vitu muhimu zaidi kuliko idadi ya matawi ya TANU au idadi ya wanachama, haya yalisemwa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere, Sept 8, 1971 mjini dar es salaam wakati akifungua rasmi tawi la TANU kwenye makao makuu ya wizara ya elimu ya Taifa, katika hotuba yake ya ufunguzi, mwalimu alitilia mkazo umuhimu wa Elimu ya watu wazima. Mwalimu Julius Nyerere alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
 
NUKUU NO 1# . Siku zote lazima kutambua kwamba watu hawagombei dhana (ideas) hawapo kilichomo kichwani mwa mtu. Wanapigania mambo ya kidunia yatakayowapa raha maishani, wawe na maisha mazuri yenye amani. Wanataka kuona ustawi wa maisha yao, wawe na uhakika wa maisha ya baadaye ya watoto wao. . Haya yalisemwa na Amilcar Cabral, katika baadhi ya maandishi yake mwaka 1965. Cabral ni mwanamapinduzi wa guinea -Bissau, aliyezaliwa September 12,1924 na kuuawawa January 20,1973
Maneno mazuri sana haya
 
NUKUU NO 2# . Uaminifu na imani katika mioyo ya wanachama wa TANU ni vitu muhimu zaidi kuliko idadi ya matawi ya TANU au idadi ya wanachama, haya yalisemwa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere, Sept 8, 1971 mjini dar es salaam wakati akifungua rasmi tawi la TANU kwenye makao makuu ya wizara ya elimu ya Taifa, katika hotuba yake ya ufunguzi, mwalimu alitilia mkazo umuhimu wa Elimu ya watu wazima. Mwalimu Julius Nyerere alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
Nyerere alikuwa special kwakweli
 
The legendary himself!!
NUKUU NO 2# . Uaminifu na imani katika mioyo ya wanachama wa TANU ni vitu muhimu zaidi kuliko idadi ya matawi ya TANU au idadi ya wanachama, haya yalisemwa na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere, Sept 8, 1971 mjini dar es salaam wakati akifungua rasmi tawi la TANU kwenye makao makuu ya wizara ya elimu ya Taifa, katika hotuba yake ya ufunguzi, mwalimu alitilia mkazo umuhimu wa Elimu ya watu wazima. Mwalimu Julius Nyerere alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom