Makapuku Forum

Makapuku Forum

labda EPL ya Kisarawe
03032e834e1029708660a5ad79aa4028.jpg
Huoni usajili bomba.....season hii watachukua

..............
 
NUKUU NO 1# . Siku zote lazima kutambua kwamba watu hawagombei dhana (ideas) hawapo kilichomo kichwani mwa mtu. Wanapigania mambo ya kidunia yatakayowapa raha maishani, wawe na maisha mazuri yenye amani. Wanataka kuona ustawi wa maisha yao, wawe na uhakika wa maisha ya baadaye ya watoto wao. . Haya yalisemwa na Amilcar Cabral, katika baadhi ya maandishi yake mwaka 1965. Cabral ni mwanamapinduzi wa guinea -Bissau, aliyezaliwa September 12,1924 na kuuawawa January 20,1973
 
NUKUU NO 1# . Siku zote lazima kutambua kwamba watu hawagombei dhana (ideas) hawapo kilichomo kichwani mwa mtu. Wanapigania mambo ya kidunia yatakayowapa raha maishani, wawe na maisha mazuri yenye amani. Wanataka kuona ustawi wa maisha yao, wawe na uhakika wa maisha ya baadaye ya watoto wao. . Haya yalisemwa na Amilcar Cabral, katika baadhi ya maandishi yake mwaka 1965. Cabral ni mwanamapinduzi wa guinea -Bissau, aliyezaliwa September 12,1924 na kuuawawa January 20,1973
1b5b1fd5db2e759c970101cc6773fbe1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom