Jahlex
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 512
- 604
hongeraAsante sana kapuku mkuu....
hongeraAsante sana kapuku mkuu....
Basi kama ndo hvyo lazima kesho nkisukishe hapaaaaa
Yanitakuwa napost hat nukta iki mradi likes zipigwe za kutisha

Binafsi ninamkubali sana TrumphYule asingeweza kumshinda Trump, yani hata bila figisu figisu yule hana jeuri ya kusimama na Trump
Leo katika Historia:
1958 - Mapinduzi ya Iraq yanafanyika na Abd Al-Karim Qasim anakuwa kiongozi wa kwanza wa Taifa hilo baada ya mapinduzi hayo.