Makapuku Forum

Makapuku Forum

71cc5e4b1df55367746e8d18a8018e7b.jpg
Sometimes it seems like challenges keep surfacing - one after the other. We understand intuitively that they have arrived for a purpose, and we try our best to learn what we can from these experiences. Still, when we are in the thick of things, the pain is great, and it feels like it may last forever. Let's remember to be kinder and more patient with ourselves as we grow and face our challenges. Each step brings us further out of the fog of uncertainty and closer to our goals. Eventually life settles more clearly into place, and we recognize that we are *who* we are and *where* we are because of all that we have surmounted.
There are times in life when it seems like nothing is progressing, and we are at a standstill. And then suddenly, out of nowhere, it all changes for us. It's like everything we ever waited for happens all at once. There's a saying, "When it rains, it pours." So if you find yourself right now at a quiet or stagnant moment in your life...if you feel like nothing is happening or moving along, please keep the faith. Believe that in one instant, your entire life can change miraculously, and God can shower upon you all the blessings you pray for and work toward. May that moment arrive for each of us now.
"Nothing happens, and nothing happens, and then...everything happens!" -Fay Weldon


Muwe na usiku mwema wakuu.
 
Wanawake wanapenda harusi na wanachukia ndoa na wanaume wanapenda ndoa na wanachukia harusi, harusi ni sherehe ya siku moja na ndoa ni agano takatifu ambalo hudumu milele.

Wengi walipenda harusi ila walipoingia kwenye ndoa hawakuwa na furaha sababu walipenda zaidi kuvaa gauni/suti za harusi kuliko kuwa tayari kuyavaa majukumu ya ndoa na uwajibikaji .

Ndoa nyingi za mbwembwe huwa na mwisho mchungu na hasa pale wahusika walioingia kwenye ndoa kwa hitaji moja la kuoa/kuolewa sababu ya msukumo wa wazazi au pesa za muda mfupi au kushika mimba na kuwa kiunganishi cha ndoa .

.

Wanawake/Wanaume wanapenda kuzaa ila wanachukia malezi na ndio maana unakuta msichana mwenye mtoto ana miaka 23 ila mtoto wake analelewa na mama yake na yeye anakula ujana sababu hawezi kulea mtoto wake mwenyewe ,wanaume wengi wanajua kuzalisha ila kutunza hawawezi na akifanikiwa kutunza jua hawezi kulea mtoto.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kutunza mtoto ,kutunza mtoto ni kazi rahisi sana sababu unamtumia mtoto pesa ya chakula ,mavazi pamoja na karo ya shule ila kumpa mtoto malezi ni ile hali ya kutengeneza chemistry nzuri na mtoto kwa uwepo wako na kumuandaa kisaikolojia kujua umuhimu wa baba kwa kuona na kusikia.

Ndoa nyingi zilizofungwa kwa harusi ndio zinazo ongoza kwa kuvunjika na moja ya sababu ya kuvunjika kwa ndoa hizo ni watu kupenda zaidi harusi kuliko kuithamini ndoa,mtu anafikilia zaidi honey moon badala ya kutafakari jinsi ya kuboresha ndoa na kuwa na kizazi chenye maisha bora na matamu . To be married by the person you love the most is the greatest blessing God can give.
 
Wanawake wanapenda harusi na wanachukia ndoa na wanaume wanapenda ndoa na wanachukia harusi, harusi ni sherehe ya siku moja na ndoa ni agano takatifu ambalo hudumu milele.

Wengi walipenda harusi ila walipoingia kwenye ndoa hawakuwa na furaha sababu walipenda zaidi kuvaa gauni/suti za harusi kuliko kuwa tayari kuyavaa majukumu ya ndoa na uwajibikaji .

Ndoa nyingi za mbwembwe huwa na mwisho mchungu na hasa pale wahusika walioingia kwenye ndoa kwa hitaji moja la kuoa/kuolewa sababu ya msukumo wa wazazi au pesa za muda mfupi au kushika mimba na kuwa kiunganishi cha ndoa .

.

Wanawake/Wanaume wanapenda kuzaa ila wanachukia malezi na ndio maana unakuta msichana mwenye mtoto ana miaka 23 ila mtoto wake analelewa na mama yake na yeye anakula ujana sababu hawezi kulea mtoto wake mwenyewe ,wanaume wengi wanajua kuzalisha ila kutunza hawawezi na akifanikiwa kutunza jua hawezi kulea mtoto.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kutunza mtoto ,kutunza mtoto ni kazi rahisi sana sababu unamtumia mtoto pesa ya chakula ,mavazi pamoja na karo ya shule ila kumpa mtoto malezi ni ile hali ya kutengeneza chemistry nzuri na mtoto kwa uwepo wako na kumuandaa kisaikolojia kujua umuhimu wa baba kwa kuona na kusikia.

Ndoa nyingi zilizofungwa kwa harusi ndio zinazo ongoza kwa kuvunjika na moja ya sababu ya kuvunjika kwa ndoa hizo ni watu kupenda zaidi harusi kuliko kuithamini ndoa,mtu anafikilia zaidi honey moon badala ya kutafakari jinsi ya kuboresha ndoa na kuwa na kizazi chenye maisha bora na matamu . To be married by the person you love the most is the greatest blessing God can give.
Karibu kapuku
Umeanza kwa nondo kali
Safi sana
...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom