Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Wanatufundisha kuwapuzia...Tungekua na uwezo tungemfanyizia![]()
..............
Wanatufundisha kuwapuzia...Tungekua na uwezo tungemfanyizia![]()
..............
Zmebaki episode 2 tu ili hadithi iishe ndo mana nkaonelea leo nilete episode 4 tu.Asante sana Kikofia.... Nimeburudika
Samtaimu nachekaga tu jinsi hii thread inavyowatesa kiasi wanaacha hata kuongelea ishu za msingiAngekuwa karibu ningemwongezea sabuni ya TESA ateseke zaidi
Wanatufundisha kuwapuzia...
Natamani nikuone umechomoza top 20, ck hizi uko poa sanaZmebaki episode 2 tu ili hadithi iishe ndo mana nkaonelea leo nilete episode 4 tu.
Hii ndo ingemfaa zsidiTungekua na uwezo tungemfanyizia![]()
..............

Mkuu hawa wakongo/vikongwe wamepoteana kabsaaa, huu uzi unawatesa sana kwani wamejaribu kila namna kuuzima but yamebaki yakitokwa kamassssSamtaimu nachekaga tu jinsi hii thread inavyowatesa kiasi wanaacha hata kuongelea ishu za msingi
Siku zitasema na muda utaongeaHabari gani makapuku wenzangu?!
Kuanzia leo mimi ni member sugu na wa kudumu humu kwa makapuku wenzangu.
Mimi Jahlex naapa ya kwamba "nitamatumikia Makapuku kwa moyo wangu wote bila ubaguzi kwa mujibu wa sheria za Makapuku na kuheshimu uongozi uliopo...Eee! Mkuu niongoze.
Natamani nikuone umechomoza top 20, ck hizi uko poa sana
Karibu sanaHabari gani makapuku wenzangu?!
Kuanzia leo mimi ni member sugu na wa kudumu humu kwa makapuku wenzangu.
Mimi Jahlex naapa ya kwamba "nitamatumikia Makapuku kwa moyo wangu wote bila ubaguzi kwa mujibu wa sheria za Makapuku na kuheshimu uongozi uliopo...Eee! Mkuu niongoze.
Una like 5702 na anayeshikilia no 20 ana likes 6448. Mwendo wako sio mbaya siku 2 utamtupa kuleeee![]()
![]()
![]()
![]()
Najitahidi sana nifikie lakini nashindwa kutokana na majukumu yanayonikabili
Aksante Mkuu,nashukuru nimefika nyumbaniKaribu sana
Jisikie FREE.....kwenye list utaongezwa tu uwe na subira.
Maelekezo yapo post # 3
.............
karibu sana mkuuHabari gani makapuku wenzangu?!
Kuanzia leo mimi ni member sugu na wa kudumu humu kwa makapuku wenzangu.
Mimi Jahlex naapa ya kwamba "nitamatumikia Makapuku kwa moyo wangu wote bila ubaguzi kwa mujibu wa sheria za Makapuku na kuheshimu uongozi uliopo...Eee! Mkuu niongoze.
Haina nomaAksante Mkuu,nashukuru nimefika nyumbani
Tusubiri tuone mkuuSiku zitasema na muda utaongea
The beautyful ones are not yet born - Ayi Kwei Armah.
Novel moja ya hatari hiyo.
Aksante mkuu Nimekaribiakaribu sana mkuu
Cc: Th name
Cc: Jimena
Amani kwako prezidaaHaina noma
..................