Makapuku Forum

Makapuku Forum

a035e77aa5b89b71855b174af13f120b.gif
Tungekua na uwezo tungemfanyizia
..............
Wanatufundisha kuwapuzia...
 
Habari gani makapuku wenzangu?!
Kuanzia leo mimi ni member sugu na wa kudumu humu kwa makapuku wenzangu.
Mimi Jahlex naapa ya kwamba "nitamatumikia Makapuku kwa moyo wangu wote bila ubaguzi kwa mujibu wa sheria za Makapuku na kuheshimu uongozi uliopo...Eee! Mkuu niongoze.
 
Habari gani makapuku wenzangu?!
Kuanzia leo mimi ni member sugu na wa kudumu humu kwa makapuku wenzangu.
Mimi Jahlex naapa ya kwamba "nitamatumikia Makapuku kwa moyo wangu wote bila ubaguzi kwa mujibu wa sheria za Makapuku na kuheshimu uongozi uliopo...Eee! Mkuu niongoze.
Karibu sana
Jisikie FREE.....kwenye list utaongezwa tu uwe na subira.
Maelekezo yapo post # 3
.............
 
Habari gani makapuku wenzangu?!
Kuanzia leo mimi ni member sugu na wa kudumu humu kwa makapuku wenzangu.
Mimi Jahlex naapa ya kwamba "nitamatumikia Makapuku kwa moyo wangu wote bila ubaguzi kwa mujibu wa sheria za Makapuku na kuheshimu uongozi uliopo...Eee! Mkuu niongoze.
karibu sana mkuu

Cc: Th name
Cc: Jimena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom