Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Typing error niliandika CHUKI ila ikatokea CHIN........Mbona kawaida tu maneno kubadilika usikuze mamboAcha woga ilikuwa mkao ungeacha
...........
Typing error niliandika CHUKI ila ikatokea CHIN........Mbona kawaida tu maneno kubadilika usikuze mamboAcha woga ilikuwa mkao ungeacha
Sana aiseeUmaskini ni sawa na matusi mnaweza kushindwa ht kuizika maiti......tutafute hela jamani tusije kufa na kuacha soo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.................
Nzuri kabisa Mr QuigleyMr shululu habari
Ahsante, Nawe pia J'mosi njema.View attachment 364399View attachment 364400
Kwa udhamini mkubwa kabisa wa Mussolin5 basi kutoka kwenye magazeti sina la ziada
Nawatakia jumamosi njema na muwe na furaha isiyo kifani
Sema MabaiboBitoz hali ilikuwaje mabibo Beach wakati wa sikukuu ya idd
Fresh mkuu, sabato inakwendaje?Za asubuhi wakuu
Kwa leo tuishie hapo, tukutane tena kesho kwa Udhamini Mnono wa Kumu-overtake Jimena.
Byeeee....

Hujambo dadake? asante kwa magazetiView attachment 364399View attachment 364400
Kwa udhamini mkubwa kabisa wa Mussolin5 basi kutoka kwenye magazeti sina la ziada
Nawatakia jumamosi njema na muwe na furaha isiyo kifani

Naunga mkono hojaLeo katika Historia * Special*
Ni miezi mitatu toka Makapuku Forum ianzishwe.
Idumu sana, pongezi za pekee kwa waasisi wake na members wote.
Jamani hata party kidogo basi siku za usoni.
Shululu mambo vp, za kuadimika?Nzuri kabisa
Nakuona th name japo unaadimika kaka, briz pia nakuonaHabarini makapuku;
Natambua uwepo wa bitoz, Jimena, musolin5, werrason na shululu kwa wakati huu.
Musolin5 ametukumbusha jambo muhim sana lililotuunganisha tukawa family, hakika ni family sababu kila siku lazima tukutane, tusalimiane, tufundishane, tukosoane nk.
Mshikamano wetu umekua sana ndani na nje ya kf, nami nasema hongera kwa waasisi na members wote.
Kama tujuavyo wanadamu hatukosi mapungufu, hata kwetu hujitokeza, na yakijitokeza hurekebishana na maisha yanasonga. Jambo la msingi ni tumefahamiana kiasi flani na hii imetupa fursa ya kuvumiliana na mambo yanasonga.
Jambo lingine; tulikuwa wengi lakini kwa sasa tuko wachache LAKINI TUPO IMARA KULIKO WAKATI WOWOTE, cha msingi ni kushikamana zaidi na KUONGEZA UBUNIFU NA LUGHA ZA STAHA MIONGONI MWETU.
Wale ambao hawaonekani aidha;
1) kukosa uvumilivu
2)kutingwa na majukumu
3)kukosa mb
4) au hata kujitoa
Hili lisiwe tatizo sisi tuendelee tukiwa wamoja na kuleta ubunifu ili kuleta mvuto zaidi. Na ndg zetu wakirudi pia itakuwa jambo la kheri kwetu na wasiporudi isiwe tabu pia.
Ni maombi yangu kama family tutambue tuna wajibu wa kuchukuliana, kupendana na kuvumiliana.
Mwisho ni maombi yangu kf idumu zaidi.
Nawaomba mniruhusu wanaume wenzangu ni mpongeze huyu kiumbe jimena a.k.a jike shupavu, mwanamke wa shoka, kwa kusimama kidete peke yake bila kukata tamaaa, najua dada zake ipo siku watarudi.
Nawapenda wote mliopo
Pia nawamiss waliotingwa na walio tuacha, nawakaribisha tena na tena tulisongeshe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nzuri sana briz, wewe uko poa?Shululu mambo vp, za kuadimika?
Na ww tia neno lako kuhusu miezi mi3 ya KF leo ni sikukuu yetu hivyo kila mtu aseme lake lenye interest kuhusu KFShululu mambo vp, za kuadimika?
Elrzea miezi mi3 ya KF acha mbwembwe Licongo au hujui kuandika speechSema Mabaibo
Nawe speech yako muhim, japo hapo juu umetoa ya moyoni, hebu sema tena mkuuNa tia neno lako kuhusu miezi mi3 ya KF leo ni sikukuu yetu hivyo kila mtu aseme lake lenye interest kuhusu KF
....................