Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna pipo zinaibuka 1 day tunaziweka kwenye list zen zen zinasepa hazina support wala faida yoyote zaidi ya kutaka tu majina yao yaonekane.......Sasa utaratibu mpya hawekwi mgu hadi tuone support ht list owe fupi km andunje haina noma ilimradi kuchat wapo FREE
................
Ni kweli, wanalamba likes, then wanasepa, wengi nawaona wanazurura kulee majukwaa fln
 
Ndo hivyo mdau ndo kutakuwa na KUHESHIMIANA badala ya watu kujiona mastaa au kuona huu uzi wa kizoba
Fanya km nilivyokuelekeza uone heshima yake

...........
Chunguza sana wageni huwa siwakimbilii hadi nione kusudi lao, unaweza kulike then mda mfupi anatutusi na kuishia, mfano kuna gaden kimaron huwa simuelewi so huwa nampita kimya, nafikiri unamwelewa kwani weww mwerevu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom