Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,226
- 39,947
Sawa ndezi mdwanzi mpenda gozigozi bila skilzHiyo ni final siyo ligi kuna extra time na penalty pia
Acha kukariri ww Ndezi kule siyo Mbezi
![]()
![]()
![]()
![]()
...........


Sawa ndezi mdwanzi mpenda gozigozi bila skilzHiyo ni final siyo ligi kuna extra time na penalty pia
Acha kukariri ww Ndezi kule siyo Mbezi
![]()
![]()
![]()
![]()
...........


Ni kweli, wanalamba likes, then wanasepa, wengi nawaona wanazurura kulee majukwaa flnKuna pipo zinaibuka 1 day tunaziweka kwenye list zen zen zinasepa hazina support wala faida yoyote zaidi ya kutaka tu majina yao yaonekane.......Sasa utaratibu mpya hawekwi mgu hadi tuone support ht list owe fupi km andunje haina noma ilimradi kuchat wapo FREE
................
Nyie Mandezi ndo mnaowapa vichwa na kiburi........Ni kweli, wanalamba likes, then wanasepa, wengi nawaona wanazurura kulee majukwaa fln
Nyie Mandezi ndo mnaowapa........
Mi siLIKE mtu asiyenilike acheni kushobokashoboka km Kaboka
![]()
![]()
![]()
...................
Coz ndezi mkubwa wewe huanza kwa kuwakaribisha na kuwapa kifungu#3
Juwakaribisha lazima/muhimu lkn wakijifanya makauzu unawapotezea tu tunaendelea na yetu![]()
![]()
Coz ndezi mkubwa wewe huanza kwa kuwakaribisha na kuwapa kifungu#3
![]()
Sawa ndezi wa mbezi mla ulanziJuwakaribisha lazima/muhimu lkn wakijifanya makauzu unawapotezea tu tunaendelea na yetu
Mfn umemkaribisha hajakujibu basi na wewe unampotezea tu
Acha undezi
![]()
![]()
![]()
![]()
..............

Huu udhamini sio!!!View attachment 364099View attachment 364100View attachment 364101
Kwa hisani ya Refa wa Mechi ya nusu fainaly kati ya France na Germany (Lubuva) naomba niwatakie weekend njema
T G I F
Ciao!!
Ndo hivyo mdau ndo kutakuwa na KUHESHIMIANA badala ya watu kujiona mastaa au kuona huu uzi wa kizobaSawa ndezi wa mbezi mla ulanzi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nafurahi kusikia hivyo mkuu.Nashukuru uzima upo
Chunguza sana wageni huwa siwakimbilii hadi nione kusudi lao, unaweza kulike then mda mfupi anatutusi na kuishia, mfano kuna gaden kimaron huwa simuelewi so huwa nampita kimya, nafikiri unamwelewa kwani weww mwerevuNdo hivyo mdau ndo kutakuwa na KUHESHIMIANA badala ya watu kujiona mastaa au kuona huu uzi wa kizoba
Fanya km nilivyokuelekeza uone heshima yake
![]()
![]()
![]()
![]()
...........

Owkey, tafuta mbesa baba. Karibu tupo.Nimerudi, nilipotea kidogo, nilibanwa na majukumu ya kazi
AhsantePolen sana timu Germany

Senkyu kwa hisani ya Lubu!View attachment 364099View attachment 364100View attachment 364101
Kwa hisani ya Refa wa Mechi ya nusu fainaly kati ya France na Germany (Lubuva) naomba niwatakie weekend njema
T G I F
Ciao!!
Asante sana mkuu kwa yaliyojiri siku kama ya leo miaka iliyopitaMpaka sina la ziada tukutane kesho hapahapa kwa Udhamini wa nguvu wa Refa wa Ujerumani Vs Ufaransa.
Bye!!
Karibu tenaNimerudi, nilipotea kidogo, nilibanwa na majukumu ya kazi
Kocha kama JechaPolen sana timu Germany
Pamoja sana, papaa mukuruOwkey, tafuta mbesa baba. Karibu tupo.
AsanteKaribu tena
Ulivyomuelewa ndo ivo ivoChunguza sana wageni huwa siwakimbilii hadi nione kusudi lao, unaweza kulike then mda mfupi anatutusi na kuishia, mfano kuna gaden kimaron huwa simuelewi so huwa nampita kimya, nafikiri unamwelewa kwani weww mwerevu![]()
