Makapuku Forum

Makapuku Forum

befdae86a64989d6e92bcb6fc5aff9e1.jpg
 
NUKUU NO 1# Tofauti Kati yetu sisi binadamu na aina nyingine za wanyama ni kwamba,sisi tunajua namna ya kutumia maarifa. Maneno haya yaliwahi kutamkwa na mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Madeleine Albright. Alizaliwa Mei 15,1937,ni mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Marekani
 
NUKUU NO 1# Tofauti Kati yetu sisi binadamu na aina nyingine za wanyama ni kwamba,sisi tunajua namna ya kutumia maarifa. Maneno haya yaliwahi kutamkwa na mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Madeleine Albright. Alizaliwa Mei 15,1937,ni mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Marekani
Iron lady
 
NUKUU NO 1# Tofauti Kati yetu sisi binadamu na aina nyingine za wanyama ni kwamba,sisi tunajua namna ya kutumia maarifa. Maneno haya yaliwahi kutamkwa na mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Madeleine Albright. Alizaliwa Mei 15,1937,ni mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Marekani
c5646a3ff32d87a3e920b45b4eedd3a1.jpg
 
NUKUU NO 2# kwa kweli kwetu sisi uhuru wa watu kujipangia mambo yao wenyewe na kuweza kujiendeleza wenyewe katika hali zenu ni sehemu muhimu ya shabaha yetu; Maneno hayo yalitamkwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, September 1971, alipo kuwa akielezea kuhusu maendeleo ya miaka kumi ya uhuru. Nyerere alizaliwa April 13,1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom