Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 10, Akshay Venkatesh –miaka 20
037616106dd345cc82eccae8a5cb9c9f.jpg
alimaluza high school akiwa na miaka 13 ba akaenda University of Western Australia, aka graduate na first class honors in Mathematics mnamo mwaka 1997akiwa kijana mdogozaid kufanya hivo kwenye hiko chuo na aliendelea na Master degree na baadate akapata PhD mnamo mwaka 2002, hivi sasa ni profesa huko Stanford University.
 
Number 10, Akshay Venkatesh –miaka 20
037616106dd345cc82eccae8a5cb9c9f.jpg
alimaluza high school akiwa na miaka 13 ba akaenda University of Western Australia, aka graduate na first class honors in Mathematics mnamo mwaka 1997akiwa kijana mdogozaid kufanya hivo kwenye hiko chuo na aliendelea na Master degree na baadate akapata PhD mnamo mwaka 2002, hivi sasa ni profesa huko Stanford University.
Dogo kweli
 
Number 9, Erik Demaine – 20
78af9f057677045c761f66ee1e13ba3b.jpg
alizaliwa Nova Scotia, huko Canada, baba yake alimtoa kwenye shule za serikali akiwa na miaka 7 na akaanza kumfundisha akiwa nyumbani, na kwakua miaka hiyo ndio computer zina ingia kijana alifanikiwa kujua computer vizuri na hiyo tuu ilimfanya kuingia chuo kikuu cha Dalhousi huko Halifax, Nova Scotia, na akafanikiwa kupata digrii yake ya kwanza katika computer akiwa na miaka 14 tuu, na haku ishia hapo kwani aliunganisha hadi PHD ambayo alihitim mwaka 2001 siku chahce tyu kabla ya kutimiza miaka 21
Kwa sasa ni profesa chuo cha technolojia cha Massachusetts huko Marekan
 
Number 9, Erik Demaine – 20
78af9f057677045c761f66ee1e13ba3b.jpg
alizaliwa Nova Scotia, huko Canada, baba yake alimtoa kwenye shule za serikali akiwa na miaka 7 na akaanza kumfundisha akiwa nyumbani, na kwakua miaka hiyo ndio computer zina ingia kijana alifanikiwa kujua computer vizuri na hiyo tuu ilimfanya kuingia chuo kikuu cha Dalhousi huko Halifax, Nova Scotia, na akafanikiwa kupata digrii yake ya kwanza katika computer akiwa na miaka 14 tuu, na haku ishia hapo kwani aliunganisha hadi PHD ambayo alihitim mwaka 2001 siku chahce tyu kabla ya kutimiza miaka 21
Kwa sasa ni profesa chuo cha technolojia cha Massachusetts huko Marekan
Hongera kwa babake
 
Number 8, Charles Homer Haskins –miaka 19
7eb69a535023d1112a17af22fdfde2b0.jpg

Charles Homer Haskins alikuwa na miaka 19 tuu mwaka 1890, oake alpo tunikiwa shahada uzamivu yaan PhD ya Historia kwenye chuo kikuu cha Johns Hopkins huko Baltimore. Baada ya kufundsha Johns Hopkins, alienda kuwa profesa huko Wisconsin University na baadaye Harvard University
 
Number 7, Juliet Beni – 19
b92664e0638c988a068aa12836eb76a5.jpg
2012,alipo kuwa na miaka 19 alitunukiwa PhD ya Psychology kutoka University of California, Riverside (UCR)

Na sasa amesema ana taka arudi chuo akachuke digrii ya udaktari wa magonjwa ya binadamu, yaan Medical Doctor
 
Number 6. Sho Yano – miaka 18
31a3dd6593d8690622640b3d7bd09916.jpg

Huyu naimba nimueke kwa ki English mta nisamehe wale mso jua

He graduated summa cum laude from Chicago’s Loyola University when he was 12. And in 2009, aged 18, he received his PhD in Molecular Genetics and Cell Biology from the University of Chicago. Completing this string of success, Yano achieved his MD, also from the University of Chicago, by the time he was 21
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom