PowaTop 10 hzi apa
Zna fuata
Kumbe tutakuwa woteNumber 4, Ruth Lawrence – miaka 17![]()
Huy bhana habari zake zaid sina ila kwa sasa na skia yuko Israel any way nikienda mwezi wa 10 ntamuuliza na nta leta deatails hapa
![]()
MmhNumber 3, Balamurali Ambati –miaka 17huyu akiwa na miaka 11 aliweza kumakiza digree na aliandika kitabu kuhusu uchunguzi wa AIDS akiwa na miaka 13 na mwaka 1995 ali graduate chuo kikuu cha New York na ana shikiria rekodi ya dunia ya kuwa dokta mdogo kuliko woteee dunian![]()
Dah!!!Number 3, Balamurali Ambati –miaka 17huyu akiwa na miaka 11 aliweza kumakiza digree na aliandika kitabu kuhusu uchunguzi wa AIDS akiwa na miaka 13 na mwaka 1995 ali graduate chuo kikuu cha New York na ana shikiria rekodi ya dunia ya kuwa dokta mdogo kuliko woteee dunian![]()
Wenzetu wanajali sana vipaji maalum ndio maana hata yanawezekanaNumber 1, Karl Witte – miaka 13alizaliwa mwaka 1800 na kwa kuwa alikuwa mtoto wa mwalimu wa chuo kikuu aliye bobea kwenye masuala ya elimu, mzee wake aliamua kumfanya research mwanaye mwenyewe na akiwa na miaka aliweza kuzungumza lugha 5 tofauti na akiwa na mika 13 alitunukiwa PhD yake ya falsafa na lugha![]()
Baadaye alihama kutoka Marekani na kwenda Italy ambako alikuwa mwalim wa literature
Asante sana kwa 10 kubwaEeeh
Mie wako Szczesny Carrenza
Na sign off
.hadi wakat mwingine
Msiache kusoma mpaka mpate PhD zenu nawatakia kila la kheri
Umeandika kiaomi jembe ww Na Mzee wa Historia mnaleta vitu vilivyoenda shuleEeeh
Mie wako Szczesny Carrenza
Na sign off
.hadi wakat mwingine
Msiache kusoma mpaka mpate PhD zenu nawatakia kila la kheri
Nasikia kipaji chako ni UmbeaWenzetu wanajali sana vipaji maalum ndio maana hata yanawezekana
Nipo mkuu mambo ya sku kuu c unajua tenaSwalamaaa, za kupotea???
Eeeh
Mie wako Szczesny Carrenza
Na sign off
.hadi wakat mwingine
Msiache kusoma mpaka mpate PhD zenu nawatakia kila la kheri

HahahaKumbe tutakuwa wote