PhD wangu uko poa!!?Wenzetu wanajali sana vipaji maalum ndio maana hata yanawezekana
Asante sana mkuuUmeandika kiaomi jembe ww Na Mzee wa Historia mnaleta vitu vilivyoenda shule
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Hapo sasa ulienda kupiga picha
Leo nilikuwa bize kuchunga ng'ombe Mabibo Relini bondeni![]()
...........
Ngoja nianze kaziAsante sana mkuu
Hata nyie segment znu nazikubali sana
Napenda picha ng'ombe niliwafunga tu kambaHapo sasa ulienda kupiga picha
Naona Mshua kaamua kum-teach mwenyeweNumber 9, Erik Demaine – 20
alizaliwa Nova Scotia, huko Canada, baba yake alimtoa kwenye shule za serikali akiwa na miaka 7 na akaanza kumfundisha akiwa nyumbani, na kwakua miaka hiyo ndio computer zina ingia kijana alifanikiwa kujua computer vizuri na hiyo tuu ilimfanya kuingia chuo kikuu cha Dalhousi huko Halifax, Nova Scotia, na akafanikiwa kupata digrii yake ya kwanza katika computer akiwa na miaka 14 tuu, na haku ishia hapo kwani aliunganisha hadi PHD ambayo alihitim mwaka 2001 siku chahce tyu kabla ya kutimiza miaka 21![]()
Kwa sasa ni profesa chuo cha technolojia cha Massachusetts huko Marekan
Mh!!! Sio binadamu hawa.Number 5, Norbert Wiener – miaka 17hapo alisoma hesabu kautka chuo kiku cha Tufts alipo kuwa na miaka 14 mwaka 1909, mwaka 1912, Wiener akiwa na miaka 17 alutunukiwa PhD ya Mathematical Logic ya hapo Harvard University.![]()
Watu Wengine wanaweza kukufanya ukajiona bogus!!!Number 2, Kim Ung-Yong –miaka 15Kim Ung-Yong akiwa na miaka mi 3 alikuwa akialikwa kufundishwa kama wana funzi wengine masomo ya sayansi huko chuo kikuu cha Kora Kusini na alipelekwa marekani na NASA ambalo ni shirika la anga la Marekani akiwa na miaka 8 kusaidia kufanya research na miaka 7 baadaye alipata PhD rasmi na huyu ndo ana shikiria rekod ya Guinness kama mtu mwenye IQ kubwa kuliko wote dunian![]()
Hivi sasa alirudi Korea na anafundisha moja wapo ya Vyuo vya huko
Naskia ulikuwa Tmk kwenye mnuso!Nipo mkuu mambo ya sku kuu c unajua tena
Dah!!! ....huo ulinzi!!!