Makapuku Forum

Makapuku Forum

1467278293351.jpg
 
Very very true, ila sasa ndo wameshaishikilia teknolojia mi nafikiri waafrika tungeanza kwa kubadilisha kwanza hizi mindset na perception, haya mambo tunayofundishwa shule kwenye history kwamba tumeoriginate kutoka kwa nyani ndo yanatuharibu kuanzia mwanzo kabisa
Hahahahahaha ni kazi kubwa sana mtu kuachana na utumwa wa akili
Ila pole pole tu labda itasaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom