Makapuku Forum

Makapuku Forum

fe3ca4c00ec9eb1485dfd82e358171bd.jpg
9c51d13b478845cc544c4eab9f12c7d9.jpg

Bruce alikuwa jembe
..........
Mkuu huyo jamaa namkubali sana
 
Kwa faida ya makapuku:

Karibia wanamichezo wote mahiri hapa Ulimwenguni ni watu weusi.

Pele - Mchezaji bora wa soka wa wakati wote.

Mohammed Ali - Mcheza ngumi bora kabisa

Kuna wanariadha kama akina Jesse Owens ambaye alidharauliwa na Hitler kisa rangi yake lakini baadae Hitler alikuja kumkubali mwenyewe.

Akina Serena Williams kwenye Tennis.
Na wanamuziki kadha wa kadha wakiwemo kina Michael Jackson
Na kwa wale ambao hawafahamu wajue sasa kuwa hata Jesus, King Solomon na waisrael walikuwa mablack kabla ya wazungu kuhack ile historia na kuibadilisha kabisa ili kuifanya ulimwengu uamini kuwa walikuwa weupe
 
[QUOTE="Jimena, post: 16690386, member: 294.........Jesus, King Solomon na waisrael walikuwa mablack kabla ya wazungu kuhack ile historia na kuibadilisha kabisa ili kuifanya ulimwengu uamini kuwa walikuwa weupe[/QUOTE]

Hahaha
Hao haiezekan
 
BREAKING NEWS
Batimaye thread ya Bitoz imewekwa STICKY Jukwaa la Utanashati
0f29eae673f7987fa455875ece249218.gif
3f413c1cc35eb5407f155b9dfc7eada8.gif

Darasa la kupigilia pamba kijanja
Makofi Tafadhali
Makapuku tunazidi kuthaminiwa
................
Hongera sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
City boy katika ubora wako....
 
[QUOTE="Jimena, post: 16690386, member: 294.........Jesus, King Solomon na waisrael walikuwa mablack kabla ya wazungu kuhack ile historia na kuibadilisha kabisa ili kuifanya ulimwengu uamini kuwa walikuwa weupe

Hahaha
Hao haiezekan[/QUOTE]
Naweza kukuthibitishia pia
Ila kwanza utoke nje ya box na kuwa huru.... Yapo maandiko kadhaa yanayoweza kukusaidia kuelewa hii
 
Back
Top Bottom