briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Njema braza habari ya wewe?Habari ya jiona Marafiki!
Njema braza habari ya wewe?Habari ya jiona Marafiki!
DaaahMzigo tayari natumai umeufurahia

Bravo broLeo katika Historia;
27/06/1976 Ndegeya shirika la ndege la Ufaransa inatekwa na wanamgambo wa PLO toka Palestina ambao inalazimishwa kuja kutua Entebbe Uganda kwa Idd Amin Dada. Ndege hiyo ilikuwa na abiria wengi wa Israel.
27/06/1977 Djibouti inapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
27/06/1977 Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Hispania, Raul Gonzalez Blanco anazaliwa.
27/06/2007 Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair anajiuzulu wadhifa huo baada ya kukaa madarakani kwa miaka 10.
Tarehe kama ya leo kila mwaka ni National HIV Testing Day nchini Marekani.

Umeshindaje mkuuSpain vp anaelekea kuaga mashindano
Nilikuwa nasubiri kwa hamu, nimekuelewa mkuuWakuu leo
Top tena hazita kuwepo
Natangaza siku ya Mapumziko kwani Messi kastaafu
Tusherehekeeee
![]()
![]()
![]()
Leo holiday mkuuuWap Szczesny? sijaona countdown za leo
Amesema anafurahia messi kustaafuWap Szczesny? sijaona countdown za leo
Me more![]()
![]()
![]()
I misd u
Pole, shabikia mjerumani papaa hawez kukulet downNgoja nkalale mood ishaharibika. Goodnight family![]()

Daaah bora ubaki ugawane yalokuharibia mood na wenzako ulale ukiwa freshNgoja nkalale mood ishaharibika. Goodnight family![]()
Niko sawa sanaa...Daaah
Ndo nme enjoy saa hii
Umishindaje my![]()
![]()
View attachment 360702
Kwenu Makapuku,
Kwa heshima na taadhima naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwenu.
Asanteni sana kwa 40k likes
Natambua ya kwamba bila nyie hata robo ya hapo nisingefikia
Shukrani hizi ziwafikie Makapuku wote, sitaweza kuwataja wote kwa majina ila naomba mtambue ya kwamba nawapenda na kuwajali..
Kwa wale ambao wamewahi kunikwaza nimeshawasamehe na niliowakwaza kwa namna moja au nyingine basi wanisamehe na tusonge mbele
Mapenzi tele kwenu wote
Asanteni
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jimena
Hongera sanaSalamaMmeshindaje wadau?