Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia;

27/06/1976 Ndegeya shirika la ndege la Ufaransa inatekwa na wanamgambo wa PLO toka Palestina ambao inalazimishwa kuja kutua Entebbe Uganda kwa Idd Amin Dada. Ndege hiyo ilikuwa na abiria wengi wa Israel.

27/06/1977 Djibouti inapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.

27/06/1977 Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Hispania, Raul Gonzalez Blanco anazaliwa.

27/06/2007 Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair anajiuzulu wadhifa huo baada ya kukaa madarakani kwa miaka 10.

Tarehe kama ya leo kila mwaka ni National HIV Testing Day nchini Marekani.
Bravo bro
 
1467052207631.jpg

Kwenu Makapuku,

Kwa heshima na taadhima naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwenu.

Asanteni sana kwa 40k likes

Natambua ya kwamba bila nyie hata robo ya hapo nisingefikia

Shukrani hizi ziwafikie Makapuku wote, sitaweza kuwataja wote kwa majina ila naomba mtambue ya kwamba nawapenda na kuwajali..

Kwa wale ambao wamewahi kunikwaza nimeshawasamehe na niliowakwaza kwa namna moja au nyingine basi wanisamehe na tusonge mbele

Mapenzi tele kwenu wote
Asanteni

Jimena
 
View attachment 360702
Kwenu Makapuku,

Kwa heshima na taadhima naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwenu.

Asanteni sana kwa 40k likes

Natambua ya kwamba bila nyie hata robo ya hapo nisingefikia

Shukrani hizi ziwafikie Makapuku wote, sitaweza kuwataja wote kwa majina ila naomba mtambue ya kwamba nawapenda na kuwajali..

Kwa wale ambao wamewahi kunikwaza nimeshawasamehe na niliowakwaza kwa namna moja au nyingine basi wanisamehe na tusonge mbele

Mapenzi tele kwenu wote
Asanteni

Jimena
Hongera sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom