_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_
_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_
_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_
_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_