Makapuku Forum

Makapuku Forum

4a7e84dc385322d6ea3135507bc897ea.jpg

Logo yetu ya zamani kipindi cha Babu Fergie

........
hahaha Fergie alikuwa anaogopeka na marefa kiasi cha marefa wenyewe wanajikuta wanakuwa na presha kubwa na mwisho wa siku wanatuzawadia penati na mbeleko nyingine.

We miss u Fergie
 
Numeanza kushabikia Man utd, siku Cantona alipostafu kucheza Man utd. 1997.

Unazi ukakolea zaid baada ya treble season ya 1999.

Nikawa sikosi mechi yoyote ya United toka msimu wa 2003-04. Nimefatilia kwa kina sana mechi nyingi za United msimu kwa msimu mpaka Sir Alex anastaafu.

Baada ya hapo utawala wa Moyes na LvG sijawahi kuwaelewa na hata mechi nimeanza kuangalia kwa kusuasua japo nimebaki loyal na Man Utd na sijawahi kufikiria kuhama klabu, Once a Red always Red.

Najiandaa kurudi kwa kishindo hasa huku mtaani kwangu baada ya appointment ya Jose Mourinho.

Kwa kifupi Mimi ni Man Utd Damu ambaye sijawahi kutetereka hata siku moja. Ila najua una wasiwasi na mimi kuhusu CR7. Kwangu mimi Messi ni bora kuliko Ronaldo. Hivyo yaani.
Anhaaa
Bas sawa

Maana nmeona hate yako kwa ronaldo iko juu kama PNC 1

Ronaldo aliwahi kuwa mchezj wa man u pia mkuu, ndo mchezaji pekee wa man u kutwaa ballon d'or akiwa pale
 
Numeanza kushabikia Man utd, siku Cantona alipostafu kucheza Man utd. 1997.

Unazi ukakolea zaid baada ya treble season ya 1999.

Nikawa sikosi mechi yoyote ya United toka msimu wa 2003-04. Nimefatilia kwa kina sana mechi nyingi za United msimu kwa msimu mpaka Sir Alex anastaafu.

Baada ya hapo utawala wa Moyes na LvG sijawahi kuwaelewa na hata mechi nimeanza kuangalia kwa kusuasua japo nimebaki loyal na Man Utd na sijawahi kufikiria kuhama klabu, Once a Red always Red.

Najiandaa kurudi kwa kishindo hasa huku mtaani kwangu baada ya appointment ya Jose Mourinho.

Kwa kifupi Mimi ni Man Utd Damu ambaye sijawahi kutetereka hata siku moja. Ila najua una wasiwasi na mimi kuhusu CR7. Kwangu mimi Messi ni bora kuliko Ronaldo. Hivyo yaani.
G G M U
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom