Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ok nao mnajiona kama ma genius au mnafanya jf kama yenu vile acheni kujitenga jf kuna sub forum nyingi sio iyo makapuku tena ningekuwa admin ninge ifutilia mbali mna haribu utaratibu tu mnaacha kwenda ku post vitu kwenye forum husika
 
Leo katika Historia.

Wamezaliwa wachezaji kadhaa tarehe kama ya leo.

Samir Nasri - Mchezaji wa Man city amezaliwa tarehe kama ya leo miaka 29 iliyopita.

Joel Campbell - Mchezaji wa Arsenal amezaliwa tarehe kama ya leo miaka 24 iliyopita.
 
5f42989722237a3b91feb1d65bbfe544.jpg

Kila nikiangalia sura yake......roho inauma
Mapenzi ya Mungu hayo
Mfano mm nilifiwa na best friend nikiwa Advance hadi leo nahisi km nilionewa
.........
Apumzike kwa amani
Sikumjua vzuri sana Amina

If only she could be careful with her words she could be alive now
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom